mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 613
ohoooo, naona kwa mbali JK akiongoza Tz hadi 2018 sababu katiba mpya inatoa provision for kipindi cha mpito hadi muda huo ili katiba ya Tanganyika na ya Zanzibar ziwe in place.This might be is strategy kwa kuanzisha mchakato wa katiba katika awamu ya pili ya uongozi! the guy is smart in his own way au ni yale yale ya greedy African leaders! They won o step down from power unless forced to do so
kwani hatuwezi kuunda serikali ya mpito nje ya hii ya sasa? Au sheria zinasemaje?