johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Aliyekuwa mwenyekiti wa Tume ya Katiba mpya Jaji Warioba amesema wananchi hawa wanaoitwa " Wanyonge" ndio wenye nchi.
Warioba amesema Rais Samia amesimama imara kwenye utendaji wake baada ya kifo cha hayati Magufuli na amekubali kushughulikia suala la katiba mpya.
Jaji Warioba amesema kuna mambo ya katiba ambayo yanaweza kupelekwa bungeni na kufanyiwa marekebisho kama ambavyo sheria ya mawasiliano inafanyiwa ammendmends mara kwa mara.
Cha ajabu tunaambiwa mawasiliano ni " kipaumbele" na sisi tunasema katiba ni kipaumbele.
Mahojiano ya Jaji Warioba yatarushwa jumatatu ITV kipindi dakika 45.
Chanzo: ITV habari
Nawasalimu kwa jina la JMT.
Warioba amesema Rais Samia amesimama imara kwenye utendaji wake baada ya kifo cha hayati Magufuli na amekubali kushughulikia suala la katiba mpya.
Jaji Warioba amesema kuna mambo ya katiba ambayo yanaweza kupelekwa bungeni na kufanyiwa marekebisho kama ambavyo sheria ya mawasiliano inafanyiwa ammendmends mara kwa mara.
Cha ajabu tunaambiwa mawasiliano ni " kipaumbele" na sisi tunasema katiba ni kipaumbele.
Mahojiano ya Jaji Warioba yatarushwa jumatatu ITV kipindi dakika 45.
Chanzo: ITV habari
Nawasalimu kwa jina la JMT.