Warning call Makamba na Mwigulu, unganeni au mtoswe wote 2030

Warning call Makamba na Mwigulu, unganeni au mtoswe wote 2030

Declasfied

New Member
Joined
Nov 7, 2022
Posts
3
Reaction score
5
Iko hivi Celebrities waliojitokeza kwa wingi kwenye kinyang'anyiro hiki walipigiwa simu wakaombwa waje kugombea UNEC kimkakati, target ni kudhibiti mjadala baada ya matokeo yenu waadhibiwe pamoja na nyie ili umma uamini matokeo ni sahihi, lilikuwa ni igizo. 2030 amueni muungane au mkubali kutoswa wote.

Wanaofanya hivi wana mtu wao ambae sio miongoni mwenu, wanafanya kosa kama alilofanya Magufuli, Mkiungana nyie hawa watalia machozi ya damu kama anayolia bashiru na wenzake hivi sasa. Msikubali kuumiwa tena, Nimemaliza.
 
Makamba ameishaponzwa na wizi wake.
Lakini pia ameponzwa na Tabia ya Baba yake ya uropokaji na kushangilia kifo cha JPM!

Mwigulu ameponzwa na Tozo kibao pamoja na unafiki wake pia.

Alipokuwa Hai JPM alijifanya Mwanamapinduzi.
Alipofariki JPM akageukia kwa Samia Na walamba Asali group.

Kwa ujumla wao Makamba na Mwigulu hawatufai.

Nchi hii haitafanikiwa kama itaendelea kushikiwa akili na "Wanamtandao wa CCM"

Kikwete,Kinana,Makamba kichwa mbovu na genge lao wote.
 
Makamba ameishaponzwa na wizi wake.
Lakini pia ameponzwa na Tabia ya Baba yake ya uropokaji na kushangilia kifo cha JPM!

Mwigulu ameponzwa na Tozo kibao pamoja na unafiki wake pia.

Alipokuwa Hai JPM alijifanya Mwanamapinduzi.
Alipofariki JPM akageukia kwa Samia Na walamba Asali group.

Kwa ujumla wao Makamba na Mwigulu hawatufai.

Nchi hii haitafanikiwa kama itaendelea kushikiwa akili na "Wanamtandao wa CCM"

Kikwete,Kinana,Makamba kichwa mbovu na genge lao wote.
Haya ni majangili ya taifa
 
Tumeshaapizana hao wanamtandao mwisho wao 2025. Ikishindikana hii nchi tuigawe kila mtu ashike kipande chake
 
Nimeishi na MAPAKA muda mrefu sana.

Sijawahi ona MAPAKA yakila Kwa ustaarabu kwenye sahani hata kama chakula ni kingi.😃😃😃😃😃

Pia Kuna ka msemo kuwa,

"There is no EVIL PLAN without a mistake".

Baada ya 2026, hapatakuwa na chama Cha mambuzi!!
 
Iko hivi Celebrities waliojitokeza kwa wingi kwenye kinyang'anyiro hiki walipigiwa simu wakaombwa waje kugombea UNEC kimkakati, target ni kudhibiti mjadala baada ya matokeo yenu.

Waadhibiwe pamoja na nyie ili umma uamini matokeo ni sahihi, lilikuwa ni igizo 2030 Amueni Muungane au mkubali kutoswa wote.

Wanaofanya hivi wana mtu wao ambae sio miongoni mwenu, wanafanya kosa kama alilofanya Magufuli, Mkiungana nyie hawa watalia machozi ya damu kama anayolia bashiru na wenzake hivi sasa. Msikubali kuumiwa tena, Nimemaliza.
Aisee.......
 
Nimeishi na MAPAKA muda mrefu sana.

Sijawahi ona MAPAKA yakila Kwa ustaarabu kwenye sahani hata kama chakula ni kingi.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Pia Kuna ka msemo kuwa,

"There is no EVIL PLAN without a mistake".

Baada ya 2026, hapatakuwa na chama Cha mambuzi!!
Noma sana!
 
Back
Top Bottom