Bwana SIKAZI alikuwepo kwenye harusi ya MAX.
Tena alikuwepo toka kanisani mpaka ukumbini!
Sasa ndio mshindwe kushangaa, ila haina neno, tuna m monitor kwa karibu.
...........Mpitanjia nilikuona, Yona fare Maro nilikuona kanisani na ukumbini, Halisi alikuwepo, Kitila nilikuona Mnyika tuliongea nani tena nimemsahau? haaaa bwana wa kutoka pande za pwani asante kuja toka Tanga sitakutaja jina la JF........
Sikazi=Shy? kazi ipo.....haya jamani......nafikiri mmeshamuona
Mtanzania,"Lakini hata nyie mliojaribu kwenda huko ili mujue passwords za wengine mulikuwa mnataka nini? kwi kwi kwi!!!
Naona umbea ulikuwa mbelembele kutaka kufahamu Mwafrika wa Kike ni nani? Invisible siku nyingine uwaache tu wakumbane na mkenge wa virus ndio wajue umbea haulipi kwi kwi kwi!!!
Mtanzania,"
Wacha roho mbaya wewe! kwi!kwi!kwi! Hata mimi kidogo aniingize mkenge.
Mtanzania,"
Wacha roho mbaya wewe! kwi!kwi!kwi! Hata mimi kidogo aniingize mkenge.
Ogah kazi kweli kweli, unajaribu kuunganisha DOTS?, mie sijasema Sikazi ni Shy.
Mbona mimi nilikuwepo kote kote?, Yap Shy alikuwepo.
Shy tulikaa karibu sana sema tu hunijui, demu unaemuongelea ni yule aliyevaa nyekundu? kama ni yule nina namba yake!
Ogah Unataka Kunifananisha Mimi Na Sikazi ? Kweli Binadamu Hawana Hiyana Well Lakini All Good --- Tuendelee Kutakiana Uzima Tu