WARNING:Ukipata Ujumbe huu tujulishe ASAP

WARNING:Ukipata Ujumbe huu tujulishe ASAP

Bwana SIKAZI alikuwepo kwenye harusi ya MAX.

Tena alikuwepo toka kanisani mpaka ukumbini!

Sasa ndio mshindwe kushangaa, ila haina neno, tuna m monitor kwa karibu.

...........Mpitanjia nilikuona, Yona fare Maro nilikuona kanisani na ukumbini, Halisi alikuwepo, Kitila nilikuona Mnyika tuliongea nani tena nimemsahau? haaaa bwana wa kutoka pande za pwani asante kuja toka Tanga sitakutaja jina la JF........

.....haya jamani......nafikiri mmeshamuona
 
Ogah Unataka Kunifananisha Mimi Na Sikazi ? Kweli Binadamu Hawana Hiyana Well Lakini All Good --- Tuendelee Kutakiana Uzima Tu
 
Ogah kazi kweli kweli, unajaribu kuunganisha DOTS?, mie sijasema Sikazi ni Shy.

Mbona mimi nilikuwepo kote kote?, Yap Shy alikuwepo.

Shy tulikaa karibu sana sema tu hunijui, demu unaemuongelea ni yule aliyevaa nyekundu? kama ni yule nina namba yake!
 
Lakini hata nyie mliojaribu kwenda huko ili mujue passwords za wengine mulikuwa mnataka nini? kwi kwi kwi!!!

Naona umbea ulikuwa mbelembele kutaka kufahamu Mwafrika wa Kike ni nani? Invisible siku nyingine uwaache tu wakumbane na mkenge wa virus ndio wajue umbea haulipi kwi kwi kwi!!!
Mtanzania,"
Wacha roho mbaya wewe! kwi!kwi!kwi! Hata mimi kidogo aniingize mkenge.
 
Mtanzania,"
Wacha roho mbaya wewe! kwi!kwi!kwi! Hata mimi kidogo aniingize mkenge.

Jasusi,

Sikujua kwamba hata wana JF ni majambazi. Yaani kuonyeshwa ufunguo wa jengo la mtu, unataka ukachungulie na vilivyomo ndani?

Wote mulioenda huko kutaka kujua password za watu wengine, nafikiri mnastahili kuitwa mafisadi kwi kwi kwi!!!
 
Ogah kazi kweli kweli, unajaribu kuunganisha DOTS?, mie sijasema Sikazi ni Shy.

Mbona mimi nilikuwepo kote kote?, Yap Shy alikuwepo.

Shy tulikaa karibu sana sema tu hunijui, demu unaemuongelea ni yule aliyevaa nyekundu? kama ni yule nina namba yake!

FP
......Ndio Mzee...Hata mimi sijasema "Shy ni sikazi"........najaribu kuunganisha dots "unajua tena...just an observation"........ingawa mimi sikutaka kufananisha sijui eti shy=sikazi=Yona fares Maro...............lakini Mkuu Shy ananilazimisha kuwa eti nasema kuwa ni yeye hebu check mwenyewe anavyoulizia hapa chini

Ogah Unataka Kunifananisha Mimi Na Sikazi ? Kweli Binadamu Hawana Hiyana Well Lakini All Good --- Tuendelee Kutakiana Uzima Tu

hiyo ilikuwa baada ya mimi kuandika post #21 katika thread hii.....

...Shy kwa nini unaniuliza hilo swali?...........kama wewe ni Yona fare Maro ambaye ndio sikazi ........basi binafsi naomba uache hiyo tabia yako yakutaka kujua ID za watu hapa JF

Wana JF
naomba nichukue nafasi hii ya kukemea hii tabia ya kunusana nusana humu................Yes Shy tuombeane uzima ndugu yangu..........

Tuko hapa kwa ajili ya mustakabli wa TAIFA letu..........period
 
fisadi huyo katoka wapi huku ndani!!! tunamkeamea, na ashindwe
 
UwT wako kazini nini kuwazima wale wote wanao wawashia moto mafisadi??
 
Back
Top Bottom