A
Umesema wana leseni, unajuwa maana ya leseni?Kuna hiki kikundi wanajiita wanatoa mkopo kwa kupitia MO DEWJI Foundation na wanatumia nyaraka za Mo dewji kinyume na sheria na wana kila kitu hadi leseni za biashara na namba zao za mawasiliano ni hizi +255 780 525 780 tuwe makini na tuwaripoti iwezekanavyo....
Bro utalia vibayaNaomba kujua iwapo hiyo kampuni inayotoa mikopo online ipo na mmiliki wake ni kweli ni Mo Dewji?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Usipige kelele! Ngoja apigwe ndonga ya chembe.Muambiweje hadi msikie hivi?
Watanzania shirikisheni akili mtatapeliwa hadi lini.Wadau kama kichwa cha habari kilivo hapo juu,kuna taarifa inatambaa hiko facebook ya kwamba Mo anatoa mikopo online,sifa kitambulisho chochote kinachotambulika na serikali na hela ya akiba kama dhamana ya mkopo.
Je,sasa nauliza kwa yeyote aliekutana na hiyo kitu mitandaoni au anaefahamu ukweli wowote juu ya jambo hilo anijuze.
Matapeli haoWadau kama kichwa cha habari kilivo hapo juu,kuna taarifa inatambaa hiko facebook ya kwamba Mo anatoa mikopo online,sifa kitambulisho chochote kinachotambulika na serikali na hela ya akiba kama dhamana ya mkopo.
Je,sasa nauliza kwa yeyote aliekutana na hiyo kitu mitandaoni au anaefahamu ukweli wowote juu ya jambo hilo anijuze.
Watanzania shirikisheni akili mtatapeliwa hadi lini.
Hapa tanzania hakuna mtu anaweza kukopa tu kisa una ktambulisho bila hata kujua anakupata wapi
Sasa kwanini waandishi wa habari wasiende kumuhoji mo mwenyewe ili akaweka sawa hizi taarifaMatapeli hao
We utajibu kila kinachoandikwa mtandaoni? Huo utapeli upo muda toka 2010, kulikuwa na halima mdee, kulikuwa na zitto, kulikuwa na anna makinda, kulikuwa na tulia, kulikuwa na nandy supermarket, n.k.Sawa
Sasa kwanini waandishi wa habari wasiende kumuhoji mo mwenyewe ili akaweka sawa hizi taarifa