A
Anonymous
Guest
Kuna hiki kikundi wanajiita wanatoa mkopo kwa kupitia MO DEWJI Foundation na wanatumia nyaraka za Mo dewji kinyume na sheria na wana kila kitu hadi leseni za biashara na namba zao za mawasiliano ni hizi +255 780 525 780 tuwe makini na tuwaripoti iwezekanavyo___
MO DEWJI FOUNDATION ipo ndio lakini haijihusishi na utoaji mikopo kama wanavyosema watu hawa
MO DEWJI FOUNDATION ipo ndio lakini haijihusishi na utoaji mikopo kama wanavyosema watu hawa