"Wars" fought by Tanzania

Juzi kati tu al shabab wameingia kenya na kuwachukua wa cuba wawili,yan sijaona nchi inayoteswa kama kenya,ethiopia uwa anavuka border ya kenya na kufanya anavyotaka,al shabab,Tanzania tuliingia kenya tukamchukua mtu wetu,tukakaa nae hadi tulipoamua wenyewe kumrudisha!vikosi vya usalama vya kenya ni weak
 
Makala ndio uwezo wao unapoishia, action yanasikia kwa majirani tu.
 
Kwani mambo ya Tz huwa yanawawasha nn?

Kingereza ni lugha kama kisambaa tu, kwangu hakina impact yyte untill nakufa, huwa nakijua lakin siwezi jivunia kuongea lugha za watu.

Kwanini niwe mtumwa, kwanini nibebwe na upepo kama bendera, my mother language ndio ninayoikubali kuliko hata hii ninayoongea hapa.
 
Since mid 70's to date every Tz has been trained as war fighter (he/she ia reservve army)and spy mkuje tu. You will learn the lesson
ha ha ha the Bongo civilians have never been involved in any internal conflict.We started fighting before your country got independence
 
Numbers don't lie, nyinyi ni kuongea tu. Bring your facts.. war is not won by saying how tough you are.
dispute the facts i put there
Mkuje even ukara island even by military training mistake you will notice our respond
 
Numbers don't lie, nyinyi ni kuongea tu. Bring your facts.. war is not won by saying how tough you are.
dispute the facts i put there
Tuambie wapi tulishindwa! Nyinyi sehemu nyingi mmeshindwa.
First Westgate, Na kwa ile Hotel nyingine.
 
Simtujaribu muone moto!
 

Ni lugha kama kisambaa lakini imewashinda kwa mlivyo wazembe.
 
Naombeni takwimu za Alshabaab, hivi wana ndege vita ngapi, Helicopter ngapi, vifaru vingapi na silaha ngapi?

Watoto wako wanakutoa kamasi alaf unakuja kupigia kelele wakubwa.

Ni kama vile Baba mwenye nyumba unapigwa na mkeo kila siku alaf unatoka nje kuanzisha ugomvi
 
Ni lugha kama kisambaa lakini imewashinda kwa mlivyo wazembe.
Kwani uliwahi kusikia tunashindana na kingereza??

Lini, wapi, na kwanini nishindane na lugha ili inipatie nini??

Endeleeni kujinyegesha kwetu mana najua bila hivyo hamuwezi kuishi.
 
Kwani uliwahi kusikia tunashindana na kingereza??

Lini, wapi, na kwanini nishindane na lugha ili inipatie nini??

Endeleeni kujinyegesha kwetu mana najua bila hivyo hamuwezi kuishi.
Hawa jamaa si wanajiita watoto wa malkia...sasa kama malkia ni mama yao mzazi sijui Kenyatta atakuwa ni nani yao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hawa jamaa si wanajiita watoto wa malkia...sasa kama malkia ni mama yao mzazi sijui Kenyatta atakuwa ni nani yao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wote wana nyapu(sio tusi ninkiungo).
 
Nipatiwe mfano wa nchi ambayo jwtz imeingia kichwa kichwa bila usaidizi.
 
Nipatiwe mfano wa nchi ambayo jwtz imeingia kichwa kichwa bila usaidizi.
Hatuwezi ingia kingese namna hiyo maana intel tuko njema.

Yaani nyie wakubwa wazima na mikia, mnapeleka jeshi somalia[emoji16][emoji16][emoji16], halafu ulizi wa kusua sua kwenye mikusanyiko. Mnauza roho za watoto wa watu panya nyinyi.
 
Umemaliza kabisa aise
 
Kdf inashambuliwa kwa mabomu tpdf wanashambuliwa kwa mapanga.
THREAD CLOSED
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…