warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Ile ya Mara ya kwanza nimenyamaza kimya sasa ivi tena mkaamua kubeba habari nzima, yaani Mme copy na Ku paste kwenye Gazeti lenu, wakati mnajua habari mmechukua kwangu, mbaya zaidi hata taarifa hamkunipa wala uongozi wa humu sidhani kama wanalijua hili , Naumia kuona jasho langu linaliwa na mtu mwingine tena bila hata kifutia jasho, najua mtasoma apa , kwanzia sasa ivi inabidi niache kuandika thread yeyote hadi nijue hatma na haki Yangu , siwezi nikawa nafanya kazi ya kuwaingizia pesa wengine , Invisible naomba msaada wako kwa hili , GLOBAL PUBLISHER mnavyofanya sivyo , Leo nimeumia sana kwa hili.
Kwa wanajamii forum wenzangu siku kadhaa niliandika thread kuhusu LULU cha kushangaza leo nimeikuta kama ilivyo kwenye gazeti la shigongo. Ushahidi huu apa chin.nadhan mnakumbuka hii habari
Kwa wanajamii forum wenzangu siku kadhaa niliandika thread kuhusu LULU cha kushangaza leo nimeikuta kama ilivyo kwenye gazeti la shigongo. Ushahidi huu apa chin.nadhan mnakumbuka hii habari