Warumi marufuku Tanzania?

Warumi marufuku Tanzania?

castle milk stout
831a8d42a3efd1b339e6e45eb7abc351_640x640.jpg
 
Habari wanajamvi, nazani wengi tunakumbuka namba za kirumi shule ya msingi, X = 10, XX = 20 na kuendelea. Baada ya kuwa watu wazima tukajitegemea na kuamua mambo yetu binafsi baadhi tulipendelea kuangalia video za warumi katika kujifunza zaidi kuhusu maana namba zao tunazijua.

Sasa hivi karibuni takribani week 2 kila nikijaribu kuingia site za warumi hazifunguki, mwanzo nilijua mtandao lakini nimekuja kubaini zimefungiwa hizi cdn zake. Sijajua kwa nn wanazizuia hizi site mpaka sasa kwan sheria inaruhusu umri 18+ una maamuzi binafsi.

Inanisikitisha sana kwa kweli.
Amka nenda kazin kiongoz
 
Back
Top Bottom