Ulikuwa wapi jamani?Mie binamu hadi leo sijazoea nikiona nyuzi kama hizi huzuni inatanda zaidi.Ahsanteeh shangaz, na nimeku mic san wee.
Nlikua buzzy na majukumu nje ya JF, ila now nipo hapa sana.Ulikuwa wapi jamani?Mie binamu hadi leo sijazoea nikiona nyuzi kama hizi huzuni inatanda zaidi.
Huyu mtu alishafariki ,muache apumzike kwa amaniKajala na harmonize wakaachana km ulivosema
😂Huyu alikua shoga kama kunamoto wa milele waendelee kuongeza kuni