Tetesi: Warumi nafukutwa na umbea leo

Tetesi: Warumi nafukutwa na umbea leo

Marehemu Warumi alikiri kwa kinywa chake kuwa ni dada lakini baada ya kufa, kuna watu wanalazimisha awe mwanaume!! amu Hornet. Jamani tuache kuwadhalilisha watu baada ya kuondoka kwao.

Hata mimi nimeshtuka kwakweli jana nimesoma mwanaume wa miaka 29. Leo naona kwenye uzi wake anasema dada wa miaka 43. Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi kwenye safari yake pamoja na sisi


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Kwanza kabisa hongera sana Lulu kwa kuolewa, hapa wambea umetukomesha, yaani umetuvua nguo Mchana kweupe, mxieew mbwa wewe, shoga umeokota embe dodo mjini, jiji gumu hili, Dada ako Warumi nina miaka 43 hata boyfriend sina ....

Secondly, I’m loving this new couple ya mjini, Harmonize na Kajala, what a perfect match , Harmonize kweli kapenda, kafa kaoza ila sijui kwa nini Warumi mie nahis hili penz it will end in premium tears, I doubt Kajala ako na the same feeling kama Harmonize , ila napenda tu wamependezeana and the love looks natural , ingawa kuna Tetesi Kajala kamroga sana mmakonde wa watu

Halafu nasikia Tunda ana mimba ya vunja bei

Amber lulu nae ana mimba ya P-Funk Majani
R.I.P
 
Usimtukane marehemu kwa vile hawezi kukujibu. Nimekupa ushahidi kuwa Warumi alijitambulisha kuwa ni dada. Kama ulikuwa unajua anadanganya, ungemwambia wakati ana uwezo wakujibu.
Jinsia yangu ni ME, Kijana mpole sana na mwenye aibu ....ebu tupige story kidogo , ni vitu gani vimekua vikikufuraisha/ kukuboa kuhusu warumi?, na ungependa kufahamu nini kuhusu warumi?
 
In my view aliepo gar atupe mrejesho yawezekana tumepigwa changalamacho hapo ili tuchangie rambirambi mjinga mmoja akapige serengeti lite ya baridi maana naona marehemu mwenyewe alikuwa mswahili mswahili anaweza hata kutuigizia humu AKAJA NA IG mpya
 
Hata mimi nimeshtuka kwakweli jana nimesoma mwanaume wa miaka 29. Leo naona kwenye uzi wake anasema dada wa miaka 43. Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi kwenye safari yake pamoja na sisi


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Hivi mnakwama wapi?

Ids mnazotumia ni majina yenu halisi?

Mbona rahisi tu, kila social media handle ina tabia ,mtazamo, falsafa ,style ya uandiahi na identity inayotaka kutambulika nayo.

warumi alichagua identity ya kike kama anavyofanya Joti na wengine.
Ili kufikisha ujumbe alitaka kwa Id yake.

Hebu imagine aina ile ya uandishi angejitambulisha kama mwanaume ?
Ndo sababu wengine walimwita shoga wakati fulani.

He was a man, kujiita dada ilikuwa ndo identity aliyochagua ili iendane na style ya uandishi wake.

Ni ufafanuzi rahisi sana ukielewa maana ya FAKE ID.
"FAKE IDENTITY"
 
Kuna umbea wa birthday ya bob risky, kuna msiba wa baba yake Tiwa savage, yaani msiba wanatunzana madolari hatariiiii na live band msiba huo ni zaidi ya sherehe ya Krish wa Uwoya.
Tupo doro hatariiiii hapo ndo tunapokukumbuka binamu warumi
 
Tunapita kweli duniani. Sijawai kumuona huyu mtu ila roho imeniuma aisee. Na nlikua najua ni mdada siku zote kumbe kaka. Pumzika salama kaka.
Mbona kwenye hiyo comment hapo juu anasema yeye ni mdada wa miaka 43. Au nimesoma vibaya?!
 
Back
Top Bottom