Hebu nivute picha siku ya kwanza tu unaanza kuchangia:
warumi "Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa gazeti la Risasi la leo, huyu Diamond huyu inafaa anyang'wanye tuzo ya Icon of The Nati... "
Wabunge Mafyatu: "Haaaaaahaaaaaa, Risasi ndo nini wewe... unadhani tupo Instagram hapa! Hayo mambo yenu ya Facebook huko huko"
warumi: "Mheshimiwa Spika nilinde, hizi sasa kashfa....!" Mara hee---
Wema Sepetu (na kasauti kake kale) huyu hapa"Yes Madam Speaker, inabidi um-protect mtoa hoja, this guy Diamond has no shame at all, he was my husband na kama si mimi, asingefika pale, trust me but above all, akaniacha na kwenda kwa a Ugandan Prosti....!
Moses Machali: Kaa chini wewe, hawa magamba sijui wametuletea watu gani humu bungeni!
warumi: Basi Mheshimiwa Spika ka mambo yenyewe ndo haya, sichangii tena, nshasusa!
mnh!!