Warumi: Natangaza nia ya kugombea ubunge

Warumi: Natangaza nia ya kugombea ubunge

Nimeona mtangaza nia akihojiwa na ana uhakika wa kuingia bungeni(Mama ubaya)
Amesema atashinda na kila kitu kipo sawa
 
Wambea wenzangu, huu ni wakati wa kupata mwakilishi mbea Bungeni ili kutetea haki zote za wambea nchini, ikiwemo kuikomesha katiba ya Cyber bullying iliyotangazwa ivi karibuni.

Nawaomba wambea wote wa jamii forum,instagram na magazeti yote ya udaku mnipigie kura ili mpate mtetezi bora kwenye kazi zenu za udaku, tarehe 27 naenda kuchukua fomu, so team warumi msiniangushe.

Please Dinazarde Heaven on Earth chige Evelyn Salt Matola matumbo Money Stunna Mrembo by Nature mzurimie TATIANA Ms.Lincoln Madame B na wadau wote wa ubuyu nchini.
Hebu nivute picha siku ya kwanza tu unaanza kuchangia:
warumi "Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa gazeti la Risasi la leo, huyu Diamond huyu inafaa anyang'wanye tuzo ya Icon of The Nati... "
Wabunge Mafyatu: "Haaaaaahaaaaaa, Risasi ndo nini wewe... unadhani tupo Instagram hapa! Hayo mambo yenu ya Facebook huko huko" warumi: "Mheshimiwa Spika nilinde, hizi sasa kashfa....!" Mara hee---
Wema Sepetu (na kasauti kake kale) huyu hapa"Yes Madam Speaker, inabidi um-protect mtoa hoja, this guy Diamond has no shame at all, he was my husband na kama si mimi, asingefika pale, trust me but above all, akaniacha na kwenda kwa a Ugandan Prosti....!
Moses Machali: Kaa chini wewe, hawa magamba sijui wametuletea watu gani humu bungeni! warumi: Basi Mheshimiwa Spika ka mambo yenyewe ndo haya, sichangii tena, nshasusa!

mnh!!
 
Ahhh, muheshimiwa warumi katika ubora wake
 
Hebu nivute picha siku ya kwanza tu unaanza kuchangia:
warumi "Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa gazeti la Risasi la leo, huyu Diamond huyu inafaa anyang'wanye tuzo ya Icon of The Nati... "
Wabunge Mafyatu: "Haaaaaahaaaaaa, Risasi ndo nini wewe... unadhani tupo Instagram hapa! Hayo mambo yenu ya Facebook huko huko" warumi: "Mheshimiwa Spika nilinde, hizi sasa kashfa....!" Mara hee---
Wema Sepetu (na kasauti kake kale) huyu hapa"Yes Madam Speaker, inabidi um-protect mtoa hoja, this guy Diamond has no shame at all, he was my husband na kama si mimi, asingefika pale, trust me but above all, akaniacha na kwenda kwa a Ugandan Prosti....!
Moses Machali: Kaa chini wewe, hawa magamba sijui wametuletea watu gani humu bungeni! warumi: Basi Mheshimiwa Spika ka mambo yenyewe ndo haya, sichangii tena, nshasusa!

mnh!!

Hahaaaaa

Jf raha sanaaaa😀
 
Back
Top Bottom