Warumi: Nipo Live JF now, ask anything about me

I always love what you do

Na pia kwa nini huwa una onekana kama huwa huposti sana habari za Ali kiba, ni kwamba huwa hana story zozote zile?
 
I always love what you do

Na pia kwa nini huwa una onekana kama huwa huposti sana habari za Ali kiba, ni kwamba huwa hana story zozote zile?
Ni kweli, nadhani kiba sio mwingi wa habari sana tofauti na mastaa wengine, pia wateja wangu hawavutiwi na habari zake kama mastaa wengine, hii ni kwa sababu jamaa hana scandal chafu na watu wanapenda kusikia habari mbaya za mastaa kuliko kazi zao
 
Ulianza sex ukiwa na age gani? Na je bado una communication nae?
 
Kwanini uliikimbia page yako ya kihongwe kule insta?Ni kweli watu walikujua wakakutishia?Saa hizi ungekuwa na followers japo 1m upige pesa za matangazo
 
Kwanini uliikimbia page yako ya kihongwe kule insta?Ni kweli watu walikujua wakakutishia?Saa hizi ungekuwa na followers japo 1m upige pesa za matangazo
Kweli kabisa, ni vile sijapata uhakika wa usalama wa account yangu kama sitaweza kukamatwa ndio maana nikaiacha, pia nilikua natishwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…