Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,595
- 6,264
Kumbe Warumi ni kamama[emoji134][emoji134][emoji134]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikujui hunijui ila una kipaji na ukikiendeleza itapendeza sana.
Fanya maarifa stories zako zikulipe
Kuna watu wanawana wivu hata kwa watu wasiuowajua.
Sijui wanapata nini
Hapo bichwa linataka Pasuka
WASHASEMA hukoooo mbona! kwenye thread nyingine nafkiri!
nikawamabia warumi haandiki hivi!
mi sauti ya warumi kwenye maandishi naijua!
Nimeizoea halafu i am a biggest fun of Osita Iheme so nikionaga thread zako huwa nazisoma kwa sauti ya Osita Iheme. Nakukubali sana BinamuAhahaah Kwan avatar ina nini binamu [emoji23][emoji23]
Nimeizoea halafu i am a biggest fun of Osita Iheme so nikionaga thread zako huwa nazisoma kwa sauti ya Osita Iheme. Nakukubali sana BinamuAhahaah Kwan avatar ina nini binamu [emoji23][emoji23]
Warumi naomba jamani mpendwa umpe huyu mtu anuanikatoto kazuri warumi alininyima anwani yake!!!!
Nimeizoea halafu i am a biggest fun of Osita Iheme so nikionaga thread zako huwa nazisoma kwa sauti ya Osita Iheme. Nakukubali sana Binamu
Ushuziunajua watu kama warumi kwenye jamii wasipokuwepo maisha yanakua magumu sana
sawa james deliciousUshuzi
unajua watu kama warumi kwenye jamii wasipokuwepo maisha yanakua magumu sana
HahahIdiot
NonsenseWarumi ni mtu mzima ila ni anatusaidia sana .
Kwa umbeya motomoto na za nyakati.
Warumi ni mtu muhimu sana humu .
Tukimkosa mtu kama warumi sijui tutampata wapi tena .
Je wangapi wanakubaliana na hii hoja??
Uzi wako umeshafyekwa mbona siuoni kwa darubini?Aaah ahsante
Sent from my iPhone using JamiiForums
And you nonsense times 10Nonsense