ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Ndio umesepa kweli mazima!!?Ooh jaman najisikia kulia binamu , Ahsante sana yani , na nitaendelea kuwapa burudan ya aina yake , warumi miaka mia , watakuja ila mimi Ndo Jasir muongoza umbea[emoji23][emoji23]
unajua watu kama warumi kwenye jamii wasipokuwepo maisha yanakua magumu sana
Dah!!Love you , thanks alot
Yu will always be that.Ahahah yeah kuna watu wanajua kabisa muandiko wangu ata nikija na ID Mpya ila wanajua tu huyu warumi , I’m that unique yan [emoji23]
MmhhhhNa kweli ni wivu unanisumbua na hapo sikujui ningekujua ningekuwekea sumu kabisaa uungue koo
Acha tu best...siku ile alivofariki nilimuota ingawa ata simjui...daah pengo kubwa Sana kaachaSio uongo.
Hali tayari ni tete, hata wiki hajamaliza.
Yani
Yes.Jamani mbona sielewi elewi, warumi hatunaye? Ina maana kuna watu walikuwa wanafahamiana naye humu?
Ilikua jokes tuu kwani mbona waguna?Mmhhhh
Mi nammiss mpk uuuwih.Acha tu best...siku ile alivofariki nilimuota ingawa ata simjui...daah pengo kubwa Sana kaacha
Hatimae maneno yako yametimia.Warumi ni mtu mzima ila ni anatusaidia sana .
Kwa umbeya motomoto na za nyakati.
Warumi ni mtu muhimu sana humu .
Tukimkosa mtu kama warumi sijui tutampata wapi tena .
Je wangapi wanakubaliana na hii hoja??
Yametimia aje??Hatimae maneno yako yametimia.