Ukiinyaka fanya kuitupia humu mkuuUkraine wanasema baadae watatoa footage ya uharibufu wa baadhi ya bomber kwenye hiyo base
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiinyaka fanya kuitupia humu mkuuUkraine wanasema baadae watatoa footage ya uharibufu wa baadhi ya bomber kwenye hiyo base
Korea ya kusini inalindwa air defense system za marekani ikiwemo Patriot air defense system na THAAD. Lakini Drone 5 za korea ya kaskazini zimechezea anga la KOrea ya kusini kwa masaa 7!! Ndege za korea ya kusini zikatumwa kuzifukuzia hazikufua dafu!! Zilirushiwa makombora 100 ili kuziangusha lakini makombora yote 100 hayakufanikiwa!! Ndege nyingine ikaruka ili kuongezea nguvu lakini baadaye ikaanguka (bila shaka ilipigwa tochi / electronic warfare). Korea ya kusini ikashtuka ndege yake ya kijeshi kupigwa tochi ikaamuru ndege zisiruke (kwa kuhofia pia zitapigwa tochi). Baada ya drones hizo tano kuchezea anga la korea ya kusini kwa raha zake kwa masaa 7, zilirudi salama nchini korea ya kaskazini!!
Bado kuna watu wanaamini air defense za marekani ni mwarobaini!! Tangu leo hayo mawazo yatilieni shaka!!
Details of North Korean drone incident revealed – media
A North Korean drone ventured into its neighbour’s airspace for at least seven hours, South Korean media said, citing the military
![]()
A South Korean Army Apache helicopter.
The South Korean military has said it fired more than 100 rounds at a trespassing North Korean drone on Monday, but failed to down it, according to Yonhap news agency. It is estimated that several unmanned aerial vehicles (UAV) remained in the South Korean airspace for seven hours.
bwana bwana kuna mchambuzi wao uyo ana jina gumuuu akija hapa atashusha insha hizo hutoaminDrone imesafiri karibu 700km ndani ya Russia,halafu kuna watu wanatuambia Russia ina air defenses bora?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Patriot, THAAD, S-400, S-300 sio kwa ajili ya hizo mini drones tutawakumbusha hili hata kama mnakaza mafuvu kuelewa.Korea ya kusini inalindwa air defense system za marekani ikiwemo Patriot air defense system na THAAD. Lakini Drone 5 za korea ya kaskazini zimechezea anga la KOrea ya kusini kwa masaa 7!! Ndege za korea ya kusini zikatumwa kuzifukuzia hazikufua dafu!! Zilirushiwa makombora 100 ili kuziangusha lakini makombora yote 100 hayakufanikiwa!! Ndege nyingine ikaruka ili kuongezea nguvu lakini baadaye ikaanguka (bila shaka ilipigwa tochi / electronic warfare). Korea ya kusini ikashtuka ndege yake ya kijeshi kupigwa tochi ikaamuru ndege zisiruke (kwa kuhofia pia zitapigwa tochi). Baada ya drones hizo tano kuchezea anga la korea ya kusini kwa raha zake kwa masaa 7, zilirudi salama nchini korea ya kaskazini!!
Bado kuna watu wanaamini air defense za marekani ni mwarobaini!! Tangu leo hayo mawazo yatilieni shaka!!
Details of North Korean drone incident revealed – media
A North Korean drone ventured into its neighbour’s airspace for at least seven hours, South Korean media said, citing the military
![]()
A South Korean Army Apache helicopter.
The South Korean military has said it fired more than 100 rounds at a trespassing North Korean drone on Monday, but failed to down it, according to Yonhap news agency. It is estimated that several unmanned aerial vehicles (UAV) remained in the South Korean airspace for seven hours.
Mwambie aweke link ya hiyo hiyo source anayotutafsiria uone atakavyokimbiaUmeongeza chumvi na viungo vyote, hiyo incident imefanyika huko mkoa mpakani, na ilikua kwa lisaa moja tu, Korea Kusini walikua wanatumia helicopter.
Kwenye huu uzi tunaongea kuhusu drone kukatiza kilomita 600 ndani ya supapawa.
Hahahahabwana bwana kuna mchambuzi wao uyo ana jina gumuuu akija hapa atashusha insha hizo hutoamin
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
NATO SYRIA walipigwa na Putin ,Iraq iliipiga NATO 1990- 1991 Acha ushabiki Ukraine ardhi yake km² 60000 IBS urusi anajipigia anapotaka pamoja na Ukraine kupewa mitambo na siraha za NATO. SYRIA km 185000 NATO walipigana na SYRIA miaka 10 URUSI NDIO ALIWAFANYA NATO WAKIMBIEMbwembwe alizoanza nazo mwezi wa pili jumlisha na tulivyodanganywa miaka kwa miaka kuwa ni supa pawa,hungefikiri kama ukraine angetoboa mwezi.
Umeandika hivi kutoka msikiti gani hapo kremlin?NATO SYRIA walipigwa na Putin ,Iraq iliipiga NATO 1990- 1991 Acha ushabiki Ukraine ardhi yake km² 60000 IBS urusi anajipigia anapotaka pamoja na Ukraine kupewa mitambo na siraha za NATO. SYRIA km 185000 NATO walipigana na SYRIA miaka 10 URUSI NDIO ALIWAFANYA NATO WAKIMBIE
Inaonekana drone ni changamoto kunaswa.
Inasemekana, hiyo drone ya Ukrain ilitembea chinichini ili isionwe na hiyo mifumo ya ulinzi!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kazi ipokwa hiyo Rwanda na Dodoma ni 600Kms, basi sawa.