Warusi wazidi kumpinga Putin. Marekani watoa onyo kali kwa Urusi

Warusi wazidi kumpinga Putin. Marekani watoa onyo kali kwa Urusi

Hizi taarifa za upande mmoja huwa hazina ladha.
Wangeruhusu RT itoe za upande wa pili ili sisi walaji tuone uhalisia.
Vita hii wamarekani wanapigana zaidi kwenye media kuliko uhalisia ulioko kwenye uwanja wa vita.
Propaganda zipi mkuu? Watu wanakimbia nchi yao huko hawataki mobilization.

Ukweli ni kwamba wanajeshi wengi wa urusi 'wanakata kamba' huko front line hakuna propaganda hapo.
 
huu ni Ukweli mchungu ambapo wale waRussi wa kibaigwa walipo humu JF huwachoma kama pasi na kuishia kutoa kejeli za matusi tu humu
siku za Putin kua madarakani zina hesabika ata toka kwa aibu sana
 
Hizi taarifa za upande mmoja huwa hazina ladha.
Wangeruhusu RT itoe za upande wa pili ili sisi walaji tuone uhalisia.
Vita hii wamarekani wanapigana zaidi kwenye media kuliko uhalisia ulioko kwenye uwanja wa vita.
Inawezekana upo sahihi kuhusu taarifa za upande mmoja lkn mbona bado Russia wanashindwa kuitwaa Ukraine
 
Hizi taarifa za upande mmoja huwa hazina ladha.
Wangeruhusu RT itoe za upande wa pili ili sisi walaji tuone uhalisia.
Vita hii wamarekani wanapigana zaidi kwenye media kuliko uhalisia ulioko kwenye uwanja wa vita.
Kwani RT, amezuiwa duniani kote, mbona wengine tunaitazama?lakini huko nako ni propaganda tu, za upande wao, tena zile za mahaba niue.
 
Marekani ndiye kiranja bora duniani, ameleta ustaarabu wa hali ya juu.

Ona Putini na mrusi wenu anaamka tu na kuvamia na kuua bila sababu
Nenda Libya kaangalie alivyoleta ustaarabu!Nenda Iraq na Afghanistan kaangalie Huo ustaarabu wake ulivyo!
 
Nenda Libya kaangalie alivyoleta ustaarabu!Nenda Iraq na Afghanistan kaangalie Huo ustaarabu wake ulivyo!
Mkuu huko koote lengo ilikuwa kudhoofisha wafadhili wa wale wa misimamo mikali na magaidi yaliyotishia amani ya dunia.
Hebu fikiria;
Sadam na Gadafi wangekuwepo, Osama jumlisha na Iran .
Pasingekalika
 
... way forward kwa sasa ni kumng'olea mbali fashisti na genge lake lote linaoloona Russia kama mali yao na kuweka utawala wa kidemokrasia. Ukisikia jambo limezua jambo ndio kama hivyo!
Endelea kuota ndugu........
 
sielewe kwanini mnamtetea mmarekani ilihali ni muanzilishi na mchochezi wa kila vita na machafuko duniani
Sio wote wanao mpinga Mrusi wapo upande wa Marekani na hapo ndipo wengi mnapokesea Pro-Rusia. Tunampinga Mrusi kwa uonevu wake dhidi ya Taifa huru la Ukraine. Marekani walipo ivamia Iraq tuliwapinga hivihivi na pengine kwa nguvu kubwa zaidi. Tatizo baadhi yenu mnachagua upande kama mnavyo fanya kwa Simba na Yanga. Kwa hiyo ndugu yangu pamoja na kwamba tunajua USA ni wakorofi na wauaji lakini kwa wakati huu maadam wako upande wa mnyonge anaye onewa dhahiri basi wapenda haki tunawaunga mkono.
 
Inaweza kuwa ahueni kiasi kwa Warusi na majirani zake, tofauti na Gorbachev Urusi huwa inapata watawala zaidi kuliko viongozi
Vita hii ndio inahitinisha utawala wa Putin nchini Russia.
 
Nenda Libya kaangalie alivyoleta ustaarabu!Nenda Iraq na Afghanistan kaangalie Huo ustaarabu wake ulivyo!
Kwa mwarabu kufa kwao wanaita ni suna, na wanaenda peponi ndio maaana marekani amewatengenezea njia ya kwenda mbinguni ili sawabu kwa mungu wao
 
Back
Top Bottom