Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wasabato fahamuni kuwa Yesu ndiyo hekalu halisi lililopo mbinguni haiwezekani akaingia kwenye hekalu lake mwenyewe
Wadau hamjamboni nyote?
Mada yangu ni habari ya hekalu la mbinguni na tafsiri yake kama inavyofundishwa na Wasabato
Nabii mke wa Kanisa la Wasabato Duniani alidai Yesu Kristo alihamiaga chumba cha patakatifu pa patakatifu kwenye hekalu la mbinguni!?
Sikusudii kuhoji alichokwenda kukifanya Yesu Kristo huko anakodaiwa kwenda ila hoja ni kweli mbinguni kuna hekalu kama lile la duniani au shida ya Wasabato ni kushindwa kutafsiri maandiko?
Karibuni tujadili
Jumapili njema
Wadau hamjamboni nyote?
Mada yangu ni habari ya hekalu la mbinguni na tafsiri yake kama inavyofundishwa na Wasabato
Nabii mke wa Kanisa la Wasabato Duniani alidai Yesu Kristo alihamiaga chumba cha patakatifu pa patakatifu kwenye hekalu la mbinguni!?
Sikusudii kuhoji alichokwenda kukifanya Yesu Kristo huko anakodaiwa kwenda ila hoja ni kweli mbinguni kuna hekalu kama lile la duniani au shida ya Wasabato ni kushindwa kutafsiri maandiko?
Karibuni tujadili
Jumapili njema