Kupaa kwenda wapi bila utaratibu? Biblia inasema,heshimuni mamlaka zinazowatawala,mahali pengine biblia inasema nani atakayekujenga mnara asiyekaa chini na kuhesabu gharama? Jamani Mungu wetu ni wa utaratibu. Na ndio maana hata mteule Yakobo baba wa makabila kumi na mbili alikaa ukweni akilima ili alipe mahali kwa miaka kumi na nne.