Wasabato Masalia watimuliwa tena uwanja wa ndege, polisi watoa onyo la mwisho

Ifike sehemu viongozi wa dini wapande ndani ya nafsi za watu mambo mema na mazuri yenye kuleta siha njema kwa kizazi kilichopo na kijacho.
Imani hupandwa na kumea ndani ya mtu kuliko iliyo kawaida, katikati ya huko kupanda imani hupandwa pia ujinga na ubaya mwingi ambao huambukiza kizazi .

Natumaini Mungu yupo na ametoa uhuru wa kuchagua njia imfaayo mtu kufikia yeye, ukimuomba akujalie njia nzuri na nyepesi na yenye amani hatasita kukuonyesha.
 
NI sawa tu na vijana wa Kiislam waendao Somalia na Yemen kuunga mkono kuua wanadamu wenzao wakati hawana elimu yeyote ya dini, wapo wamekariri vitu wasivyovijuwa tu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hivi jamaa kweli waliishia wapi?
 
Kumbe Pdidy zamani alikua anajua kuandika vizuri!? Sasa nini kilimbadilisha akaamua kubadili style ya uandishi wake usioeleweka na wengi humu!!??
 
Kinachonisikitisha dini ya ukristo naweza kusema ndo dini yenye wasomi wengi lakini ajabu ndio dini ambayo imechezewa mno mno na ni warahisi kuingizwa mkenge.
Waislam tunaweza chukulia sio wasomi sana wa elimu dunia lakini muislam kumuingiza mkenge inabidi ujipange.
Umeshawahi sikia muislam akijiita nabii.Akitokea tu shingo yake ni chakula nzuri sana
 
Waislam tunaweza chukulia sio wasomi sana wa elimu dunia lakini muislam kumuingiza mkenge inabidi ujipange.
Umeshawahi sikia muislam akijiita nabii.Akitokea tu shingo yake ni chakula nzuri sana
Usiseme hivyo mkuu.
Husikii Bokohram, Hamas, na vikundi vingine vya kigaidi.

Vijana wanapumbazwa na imani kwa masilah ya watu wachache.


Dini ukiwa mjinga utapelekwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…