FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Based on research ipi? usije kuwa umefanya research dar halaf unadhan kwingine kuko hivyo hivyo.Ukizunguka mjini siku ya Ijumaa Jioni na Jumamosi Utaona sehemu kubwa ya maduka yamefungwa kama sehemu ya imani yao na watu
wengi kukiri waumini hao wamekuwa wengi kuliko walokole ambao siku za hivi karibuni wamekuwa wakibakia Majumbani nà kusali kwa luninga na radio kama nchi za Ulaya au Magharibi.
Instagram:kaukwaju
Its the same when you say'colonial education kills themselves'i mean that preachers have good will to use TV and radio but It will be better if they use on working days except on Sunday in order to make members to join on Church,and record Sunday's prichersBased on research ipi? usije kuwa umefanya research dar halaf unadhan kwingine kuko hivyo hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana watu wameielewa vizuri soma Luka 4:16 Yesu alichokuwa anafanya siku ya Sabato.Ukizunguka mjini siku ya Ijumaa Jioni na Jumamosi Utaona sehemu kubwa ya maduka yamefungwa kama sehemu ya imani yao na watu
wengi kukiri waumini hao wamekuwa wengi kuliko walokole ambao siku za hivi karibuni wamekuwa wakibakia Majumbani nà kusali kwa luninga na radio kama nchi za Ulaya au Magharibi.
Instagram:kaukwaju
Kila kona wanayo wasbatoHuu nao ni upuuuziii.....labda ungesema ambao hatuna Dini tumeongezeka,ila walokole bado ni wengi kuliko wasabato,angalia makanisani huko utajua ukweli,karibia kila kata kuna makanisa ya walokole zaidi ya moja na watu full,wasabato je wana makanisa mangapi!??
jitahidini kata yangu hamna kanisa hata moja la wasabato...sasa sijui unazungumzia kila kona ipi!??Kila kona wanayo wasbato
Asante kwa taarifa, ni wapi huko?jitahidini kata yangu hamna kanisa hata moja la wasabato...sasa sijui unazungumzia kila kona ipi!??
kata ya miburani ,kata ya tandika ,kotee hmna hivooo vijikanisa vyenu acheni upuuzi wa kujisifu hapa,kila mtu na dini yake akija kujisifu itakuaje!??
Sio kweli walokole wanabeba watu kutoka kila corner,sababu kuu ni kuwaaminisha au kutatua shida zao..Mitume na manabii wanafungua makanisa kila leo hata manyumbaniUkizunguka mjini siku ya Ijumaa Jioni na Jumamosi Utaona sehemu kubwa ya maduka yamefungwa kama sehemu ya imani yao na watu
wengi kukiri waumini hao wamekuwa wengi kuliko walokole ambao siku za hivi karibuni wamekuwa wakibakia Majumbani nà kusali kwa luninga na radio kama nchi za Ulaya au Magharibi.
Instagram:kaukwaju