FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Ukizunguka mjini siku ya Ijumaa Jioni na Jumamosi Utaona sehemu kubwa ya maduka yamefungwa kama sehemu ya imani yao na watu
wengi kukiri waumini hao wamekuwa wengi kuliko walokole ambao siku za hivi karibuni wamekuwa wakibakia Majumbani nà kusali kwa luninga na radio kama nchi za Ulaya au Magharibi.
Instagram:kaukwaju
wengi kukiri waumini hao wamekuwa wengi kuliko walokole ambao siku za hivi karibuni wamekuwa wakibakia Majumbani nà kusali kwa luninga na radio kama nchi za Ulaya au Magharibi.
Instagram:kaukwaju