eastmea
Senior Member
- Jul 28, 2018
- 159
- 133
Kiukweli nimekuwa mfatiliaji wa haya matamasha lakini tuacheni ushabiki wasafi festival ndio tamasha bora kwa mwaka huu hii ni kutokana na A list ya wasanii wanaofanya vizuri mwaka huu kiribia wote wanatoka wasafi alafu katika swala la mauzo ya ticket wasafi ndio wanaoongoza kwanii ukifatilia hata picha za matamasha yao zinapigwa kwa juu (vertical) na kuonesha idadi kamili ya watu lakini nimefatilia picha za fiesta zinapigwa kwa upande upande zikificha sehemu nyingine. Hasa fiesta ya dar haupishani na wasafi festival iliofanyika Zanzibar ile siku ya jumanne
Ngoja tusubirie hio wasafi festival itskayofanyika dar,tarehe 12 alafu tulinganishe vizuri ila kiukweli mpaka hapa tulipofikia wasafi festival ndio bingwa
Ngoja tusubirie hio wasafi festival itskayofanyika dar,tarehe 12 alafu tulinganishe vizuri ila kiukweli mpaka hapa tulipofikia wasafi festival ndio bingwa