MWEMBEKIUNO
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,877
- 2,489
mau anahitaj mtu mwenye masihara sana kama yy, huyu babu Z haendan na kasi ya bwana Mau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni roho mbayaMbwembwe za kimama sana eti ana wasikilizaji wanamkubali.usenge mtupu
Wanakera sana....
Nilidhani ni mimi peke yangusijui kwanini sipendi kusikiliza redio
Yaani Kama unawasikiliza hawa jamaa na comedy zao,haki ya Mungu,una akili ndogo sana,Katika fatilia yangu ya uchambuzi wa magazeti Wasafi Fm,aisee Zembwela anaboa kinyama yani.Maulid Kitenge bado ana mzuka wake uleule lakini akitaka kuweka vile vionjo vyake haipati sapoti inavotakiwa kutoka kwa Zembwela.
Mfano Maulid anaelezea kitu flani na kashasimama na kuanza mautundu yake, unakuta Zembwela kuchangia kwake kunampunguza speed Maulid. Yaani bora Wasafi wangemchukua jamaa mmoja kutoka e.fm alokuwa anaendana na maulid. Zembwela haendani na kasi na mautundu ya Kitenge. Kwa ujumla hawaendani. Maulid anachangamsha lakini Zembwela anapooza.
Hawaendani kabisaa zembwera ile sio idara yake anafanya kipindi kipooze atafutiwe idara nyingine, musa kipanya ndo alikuwa anakoleza vile vitu tulivyokuwa tunavipata EFm hatuvipati kitenge hana Support nzuri kweli kabisa hawaendaniKatika fatilia yangu ya uchambuzi wa magazeti Wasafi Fm,aisee Zembwela anaboa kinyama yani.Maulid Kitenge bado ana mzuka wake uleule lakini akitaka kuweka vile vionjo vyake haipati sapoti inavotakiwa kutoka kwa Zembwela.
Mfano Maulid anaelezea kitu flani na kashasimama na kuanza mautundu yake, unakuta Zembwela kuchangia kwake kunampunguza speed Maulid. Yaani bora Wasafi wangemchukua jamaa mmoja kutoka e.fm alokuwa anaendana na maulid. Zembwela haendani na kasi na mautundu ya Kitenge. Kwa ujumla hawaendani. Maulid anachangamsha lakini Zembwela anapooza.
Kumbe clouds ni BABALAO kwa kila kituNdiyo lengo la hizo redio yani kutofanya utangazaji uwe serious walianzisha clouds na wengine wakaiga.
Haswaa M/Mungu hapo kaweka siri kubwa ili tusidhuriane maana tungejuana kihivyo vifo ingekua kama kufumba jicho tu.Hapo kwenye nafsi ni papana sana maana hata mke na mume hawajuani nafsi zao
Udini tu wanachukuana hao wasafi udini mbaya sana diamond aache udini
Katika fatilia yangu ya uchambuzi wa magazeti Wasafi Fm,aisee Zembwela anaboa kinyama yani.Maulid Kitenge bado ana mzuka wake uleule lakini akitaka kuweka vile vionjo vyake haipati sapoti inavotakiwa kutoka kwa Zembwela.
Mfano Maulid anaelezea kitu flani na kashasimama na kuanza mautundu yake, unakuta Zembwela kuchangia kwake kunampunguza speed Maulid. Yaani bora Wasafi wangemchukua jamaa mmoja kutoka e.fm alokuwa anaendana na maulid. Zembwela haendani na kasi na mautundu ya Kitenge. Kwa ujumla hawaendani. Maulid anachangamsha lakini Zembwela anapooza.
Anainusuru nafsi yake kwani mjinga kiasi gani aigeige tu,ye na Mau wamekutana kazini uwezi jua mwenzie anajiamini nini.
Japokuwa ni hater lkn unasikilizaga Wasafi.Kitenge ni mtangazaji Local sana anatangaza kwa Maigizo, kitenge ni Msoma taarifa ndo Maana hata kwenye uchambuzi wa maswala ya soka ni Mweupe