Pia Zembwela anapitiliza kuongea, awe anaongea kidogo atoe fursa kwa wenzake bana...mantiki ndogo lakini atazunguka kama anahubiri bana ...[emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂Jamaninenda kaombe kazi wewe uwe unachambua magazeti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahnenda kaombe kazi wewe uwe unachambua magazeti