Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,212
- 3,093
Mshamba huwez kuelewaJamàa wanaboa kweli na mamisemo yao sasa mara bango limewaka mara mwamba kachill yaan hata hawaeleweki wanaongea kihuni sana ila nadhani kwa vijana wenzao wanaelewana sana.,.
Mshamba huwez kuelewa
yess BiShoo haswaaAaa
SHOW KUBWA yaan show kali show kubwaHivi bango kubwa maana yake ni nini mkuu?
dodge
SHOW KUBWA yaan show kali show kubwa
Mkuu na ila inategemea na mazingira ya huo msemo ulipotolewa
yess BiShoo haswaaAaa
hamna kitu pale, Janja janjaHasa yule mtu imara anakosea sana timing ya kuingiza ujinga wake shoo iko local sana tayari wasafi tv imeshakua yakawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
walienda OP sana, haweelewi vitu vingi sanaUkitaka kulijua hilo kuwa wale ni wahuni waliopewa maiki angalia interview waliyofanya na Majani unaona kabisa hata hawakujipanga wanaongea kitu Majani anawakosoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
madhara yakutokusoma script hayo, unaenda studio kupumzika tu wakati unaenda on airSio umri Wala majukumu wale majamaa hawajui kutangaza.....Huwa wanaongea vitu vingine unajiuliza hawa mbona wanaongopa mno!Eti baada ya ngoma ya "Ye" ya Burna Boy kufanyiwa remix na yule demu ndo umekuwa maarufu worldwide...dah...wanawadanganya Sana watu...!Hata utamshi wa maneno ni hovyo!.......Halafu hawajatulia mapepe na kuchekacheka ....!
pale abaki Jonijo tu!
Kwani mm ndo ninaetangaza hko kipindi au.....?ukisema shoo kubwa inaingiza Revenue kiasi gani kwa mwezi..?
Wanafanya kazi kwa mazoea! ...madhara yakutokusoma script hayo, unaenda studio kupumzika tu wakati unaenda on air
Tigana LukinjaSijui ni umri au majukumu mbina na pitwa na vitu kama hivi. Niwe mkweli tu Mimi huwa naskiza redio asubuhi tu pb ya kina kipanya. Wakishaperuuz n kudadiiiiz na zima na redio michezo huwa naskiza SAA 2 usiku tena in habari hapa nyumbani tu na mchambuzi wangu mkubwa akiwa ni Tigana Rukinja
Hawa jamaa wa Block 89 ya Wasafi wanaongeaga vitu vingi sana hawavijui! Too much lies! Story za Kobe (wao wanamuita Kobe na sio Kobi) zimepotoshwa sana kuhusu basketball. Most of them are overrated.
Who's the Program Manager?