Wasafi Football Club ni kweli au uzushi?

Mzee baba unafeli wapi??

Hata mtaani kwetu tumejichanga tumeanzisha timu yetu,itapanda taratibu hadi ligi daraja la kwanza.

Kuna ugumu gani?

Au wewe unataka uanze siku hiyo hiyo uwe na kiwanja,hostel za team kama azam fc??
Haya bhana mi hata sitaki mabishano
 
Endeleeni kudanganyana
Mo dewj kawekeza simba $8.5M ambazo ni nyingi kuliko $4M ambazo ni net worth ya mondi
Ikiwa mo kwa uwekezaji huo hana uwezo wakujenga uwanja kwa klabu kama simba ambayo tayar INA assets kama plot,mashabiki na uzamini wa kutosha $1m toka sportpesa
Leo tutaamini vipi huo uwanja mkubwa?

NB.tusimkatishe tamaa anaweza anzisha timu ya kushiriki ndondo kama walivyofanya NAVYKENzO in last sports extra Ndondo cup
 
Awekeze kwenye Viwanda, kwa Afrika mpira ni pasua Kichwa hatofanikiwa sana!
 
Mzee baba unafeli wapi??

Hata mtaani kwetu tumejichanga tumeanzisha timu yetu,itapanda taratibu hadi ligi daraja la kwanza.

Kuna ugumu gani?

Au wewe unataka uanze siku hiyo hiyo uwe na kiwanja,hostel za team kama azam fc??
Navy kenzo anatimu maeneo ya kawe ,inaitwa Kenzo Academy football nadhani
 
wana muibia hao
 
hakuna mtu muongo na tapeli kama Mo hapo simba kawekeza milion 8 tu
 
Kumiliki team mpya bongo ni hasara tu ndio maana kina Mo na Manji wanagangania Simba na Yanga

Ndio maana matajiri huwa wananunua team ambazo tayari zipo, so unakuta tayari team ina msingi wa mashabiki

Azam au mtibwa sugar hadi leo sidhani kama ana mashabiki wa maana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…