Wasafi hawajawahi kutaja neno Serengeti, Kilimanjaro au hata Ngorongoro kwenye nyimbo zao, kwanini?

Wasafi hawajawahi kutaja neno Serengeti, Kilimanjaro au hata Ngorongoro kwenye nyimbo zao, kwanini?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Nadhani ingekuwa vyema kuwa wazalendo kidogo, katika moja wapo ya nyimbo zao wakawa wanachomeka neno Serengeti au hata Ngorongoro, itasaidia sana kiutalii wa ndani na wa nje.
================================
Update: 02/08/2019
Harmonize asikia kilio chetu
 
Nadhani ingekuwa vyema kuwa wazalendo kidogo, katika moja wapo ya nyimbo zao wakawa wanachomeka neno Serengeti au hata Ngorongoro, itasaidia sana kiutalii wa ndani na wa nje.
Sio mawazo mabaya, lakini ulivyoandika kama vile ni lazima kutaja hayo maneno.
Muziki ni biashara lazima uzalishe kile wateja wako wanataka na haifai kupaingiana cha kuwauzia wateja wao.
Wapo wenye dhamana ya kutangaza hivyo vivutio na wanalipwa kwa kazi hiyo.
Je! wewe uliyemzalendo unaitangazaje nchi yako?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio mawazo mabaya, lakini ulivyoandika kama vile ni lazima kutaja hayo maneno.
Muziki ni biashara lazima uzalishe kile wateja wako wanataka na haifai kupaingiana cha kuwauzia wateja wao.
Wapo wenye dhamana ya kutangaza hivyo vivutio na wanalipwa kwa kazi hiyo.
Je! wewe uliyemzalendo unaitangazaje nchi yako?


Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaposema uzalendo inabidi uelewe maana ya uzalendo, angalia wasanii wa Kenya, kila shairi lazima ataje "Kenya yetu, wanyama wetu, lugha yetu, mlima wetu", sasa angalia huku kwetu, "Bonge nyaya tetema, ai, mama, nakufa, konki , Lwikwidiii..." hahahahahah
 
Narudia tena;
mawazo yako ni mazuri, nakushauri ufungue uzi wa kushauri na kushawishi wasanii wote Tz kuwa katika tunzi zao wajaribu kuiweka mbele Tz na vivutio vyao kama wafanyavyo wenzao.
Sio wasafi pekee bali watanzania wote na wasanii pia.
Hapa umewatupia jiwe wasafi pekee japo nafikiri kwasababu muziki wao umevuka mipaka mingi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Narudia tena;
mawazo yako ni mazuri, nakushauri ufungue uzi qa kuahauri na kushawishi wasanii wote Tz kuwa katika tunzi zao wajaribu kuiweka mbele Tz na vivutio vyao kama wafanyavyo wenzao.
Sio wasafi pekee hiyo bali watanzania wote na wasanii pia.
Hapa umewatupia jiwe wasafi pekee japo nafikiri kwasababu muziki wao umevuka mipaka mingi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna haja ya uzi mwingine, huu huu unawatosha wasanii wote Tanzania
 
Wataje hifadhi za taifa?

Watalipwa na nani?
Mamaee konk likwid inalipa zaidi na walipaji wa hizo songs ni akina Tulia na Ndungai, achilia mbali Kigangwalaa na wewe hapo mdau wa konk likwidii

Wasafi wanashibishwa na kizazi cha wapenda matusi na sio wale wapenda hifadhi maana wapenda hifadhi za tz wanaishi ughaibuni

Teh teh teh
 
Kwani lazima ? Au


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mapenzipenzi Tu Ndio Yametawala Nyimbo Zao Kana Kwamba Kuna Mtu Anazaliwa Hajui Mapenzi
Kila mtu na kipaji chake
Wengine wanavipaji vya kutunga na kuimba nyimbo za harakati za kisiasa,haki binadamu nk
 
Kwa nini katika wasanii wengi wa Tanzania umeamua kuwasema wasafi tu? Je wasanii wengine wao hutaja hivyo vivutio vya kitalii?
 
Nadhani ingekuwa vyema kuwa wazalendo kidogo, katika moja wapo ya nyimbo zao wakawa wanachomeka neno Serengeti au hata Ngorongoro, itasaidia sana kiutalii wa ndani na wa nje.
Walianza na Mza- Nyegezi wakafungiwa... sijui kama watafika huko unapopataka.
 
Back
Top Bottom