Wasafi hawajawahi kutaja neno Serengeti, Kilimanjaro au hata Ngorongoro kwenye nyimbo zao, kwanini?

Wasafi hawajawahi kutaja neno Serengeti, Kilimanjaro au hata Ngorongoro kwenye nyimbo zao, kwanini?

Wewee wimbo waanze kutaja maserengeti sijui vitulo simba chui fisi unataka tuanze kuota usiku???

Mambo ya paka mate tuteleze,ulivyofungasha nyuma jinkolo jinkologo,uno la sotojo,amber rutty,simamia kama kangaroo yanatosha ndo tunayopenda watanzania wengi😎😎😎😎

Hahahahaaa ila wabongo tuna balaa kwenye habari za kuGegedana yani
 
Wewee wimbo waanze kutaja maserengeti sijui vitulo simba chui fisi unataka tuanze kuota usiku???

Mambo ya paka mate tuteleze,ulivyofungasha nyuma jinkolo jinkologo,uno la sotojo,amber rutty,simamia kama kangaroo yanatosha ndo tunayopenda watanzania wengi😎😎😎😎

Hahahahaaa ila wabongo tuna balaa kwenye habari za kuGegedana yani
"Bonge nyanya Tetema, inama uchutame, weka mate niteleze, anifinyie kwa ndani, katikaa katika, kishundu mbwimbwimbwiii, mtoto rojo rojo, aiii mamaa nakufaa, konko, Likwidiii..."
 
Wametaja Nyegezi tuu, wakafungiwa mwezi.
Wakitaja Serengeti au Ngorongoro je, itakuwaje?!
 
Sio mawazo mabaya, lakini ulivyoandika kama vile ni lazima kutaja hayo maneno.
Muziki ni biashara lazima uzalishe kile wateja wako wanataka na haifai kupaingiana cha kuwauzia wateja wao.
Wapo wenye dhamana ya kutangaza hivyo vivutio na wanalipwa kwa kazi hiyo.
Je! wewe uliyemzalendo unaitangazaje nchi yako?


Sent using Jamii Forums mobile app
Boss nafikiri ni vizuri watu kuwa na uelewa kidogo wa mambo. Kwan nani mwenye nchi. Nchi ni yetu sisi RAIA. Aman tuliyonayo ndo inatufanya tuwe free hata kufanya muziki, na shughuli zingine. Mashabiki, makampuni yanayotufadhili yote yanafanya kazi kwenye nchi yenye aman na miundo mbinu sahihi. Hivyo vyote havipatikan kutoka tu from nowhere. Kuna kazi inafanyika. Sasa, kila mtanzania anapaswa kusaidia kuifanya nchi iwe nzuri ili kazi zake zifanyike vizuri

Sijui kwann watanzania tunataka kila mtu awe mwanasiasa. Kila unachokifanya una ki connect na siasa. Achen upuuzi. Isaidieni nchi isonge mbele. Makampuni haya yakikua ndio hata shughuli za muziki, mpira na vitu mbali mbali vitapata sponsorshipi kubwa na nyie mtapata hela ya kutosha

Huwezi ukawa unaimba nyimbo zinawika Dunia nzima. Makampuni ya nchin kwako yanakupa sponsorship mpaka unakuwa tajiri et huwezi kutunga hata kawimbo hata kamoja ka kutaja sifa hata moja tu ya nchi yako.

Kama akina AY amepata hela tena kutoka kwenye kampuni ya Kitanzania, anaenda kununua nyumba marekan na kuwaza kuhama kabisa nchi. Kama vile anadhan akienda marekan atakuwa na nafasi ya kufanikiwa kama RAIA wa Kule.

Ndo maana watu husema huwezi kuvuna usichopanda. Unataka nchi ikufanyie kila kitu wakati ww huwezi kuifanyia hata kitu kidogo tu cha kuitaja sifa moja ili labda watali wawili au watatu watavutiwa na kuja kutembea au kuwekeza.

Sio vibaya kwenda kuishi nje lakin wazalendo au watu wenye akili timamu huwa wanaenda nje kutafuta then huleta nyumban kusaidia walio Hm. Sio unapata mafanikio Hm then unataka kuhama kabisa uende ukaishi ugenini.

Usiseme Tanzania itakufanyia nn, sema katika kipindi cha uhai wako umeisaidia nn nchi (Tanzania) yako!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss nafikiri ni vizuri watu kuwa na uelewa kidogo wa mambo. Kwan nani mwenye nchi. Nchi ni yetu sisi RAIA. Aman tuliyonayo ndo inatufanya tuwe free hata kufanya muziki, na shughuli zingine. Mashabiki, makampuni yanayotufadhili yote yanafanya kazi kwenye nchi yenye aman na miundo mbinu sahihi. Hivyo vyote havipatikan kutoka tu from nowhere. Kuna kazi inafanyika. Sasa, kila mtanzania anapaswa kusaidia kuifanya nchi iwe nzuri ili kazi zake zifanyike vizuri

Sijui kwann watanzania tunataka kila mtu awe mwanasiasa. Kila unachokifanya una ki connect na siasa. Achen upuuzi. Isaidieni nchi isonge mbele. Makampuni haya yakikua ndio hata shughuli za muziki, mpira na vitu mbali mbali vitapata sponsorshipi kubwa na nyie mtapata hela ya kutosha

Huwezi ukawa unaimba nyimbo zinawika Dunia nzima. Makampuni ya nchin kwako yanakupa sponsorship mpaka unakuwa tajiri et huwezi kutunga hata kawimbo hata kamoja ka kutaja sifa hata moja tu ya nchi yako.

Kama akina AY amepata hela tena kutoka kwenye kampuni ya Kitanzania, anaenda kununua nyumba marekan na kuwaza kuhama kabisa nchi. Kama vile anadhan akienda marekan atakuwa na nafasi ya kufanikiwa kama RAIA wa Kule.

Ndo maana watu husema huwezi kuvuna usichopanda. Unataka nchi ikufanyie kila kitu wakati ww huwezi kuifanyia hata kitu kidogo tu cha kuitaja sifa moja ili labda watali wawili au watatu watavutiwa na kuja kutembea au kuwekeza.

Sio vibaya kwenda kuishi nje lakin wazalendo au watu wenye akili timamu huwa wanaenda nje kutafuta then huleta nyumban kusaidia walio Hm. Sio unapata mafanikio Hm then unataka kuhama kabisa uende ukaishi ugenini.

Usiseme Tanzania itakufanyia nn, sema katika kipindi cha uhai wako umeisaidia nn nchi (Tanzania) yako!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kwann watanzania tunataka kila mtu awe mwanasiasa. Kila unachokifanya una ki connect na siasa. Achen upuuzi. Isaidieni nchi isonge mbele. Makampuni haya yakikua ndio hata shughuli za muziki, mpira na vitu mbali mbali vitapata sponsorshipi kubwa na nyie mtapata hela ya kutosha

[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
kwa kauli hiyo nawe ni mpuuzi tu, unasema "isaidieni nchi"
hujajiweka mwenyewe, na nikikuuliza hadi sasa umeisaidiaje, utatoa blabla tu.

ni vyema tukashawishiana na kushauriana kuliko kuanza kurushiana lawana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kwann watanzania tunataka kila mtu awe mwanasiasa. Kila unachokifanya una ki connect na siasa. Achen upuuzi. Isaidieni nchi isonge mbele. Makampuni haya yakikua ndio hata shughuli za muziki, mpira na vitu mbali mbali vitapata sponsorshipi kubwa na nyie mtapata hela ya kutosha

[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
kwa kauli hiyo nawe ni mpuuzi tu, unasema "isaidieni nchi"
hujajiweka mwenyewe, na nikikuuliza hadi sasa umeisaidiaje, utatoa blabla tu.

ni vyema tukashawishiana na kushauriana kuliko kuanza kurushiana lawana

Sent using Jamii Forums mobile app
Rafik yangu hunijui vizuri. Mm ni mtanzania, nalipa kodi zaid ya million mbili kila mwezi. Na hiyo ni minimum. Ukienda exact kuna kipindi nalipa mpaka million 20. Nasafiri nje karibu kila miezi mitatu na nguo zote ninazovaa ni zile za kitanzania zenye picha za wanyama, mlima kilimo, mazao, mbuga na tamaduni mbali mbali za kiafrica. Nimeshawahi mpaka Ku connect makampuni kibao na watalii na wengine ni investors mpaka Leo wana makampuni huko Arusha. Kama ninachofanya mm kwenye shughuli zangu ambazo hata situmii gharama yoyote kingefanywa na watanzania million mbili tu, tungeisaidia sana hii nchi. Tungekuwa mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama serikali inatumia mamilioni kujitangaza kupitia kampuni za kimataifa kwanini isifanye uzalendo kwa kuilipa kampuni ya wasafi itangaze utalii wetu.

Mpaka WCB kufikia hapo wametumia mamilioni kwa mamilioni kujitangaza, Serikali ikiona kuna umuhimu iwalipe wafanye biashara ya kutangaza utalii wetu a ndani kama inavyofanya kwa makumpuni mengine ya nje na ndani.


Kitendo cha Dimond na wenzake kutokea Tz kuimeshaitangaza nchi wakitaka matangazo watoe hela maana hata wao WCB wanatumia hela nyingi kufikisha muziki wao hapa hakuna cha bure vinginevyo WCB waendelee kuimba "ai Mama nakufa au konki konki " kama tunavyopenda sie mashabiki wao .



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lengo sio kuelezana ni kiasi gani unalipa kodi, hata mimi mlipa kodi mzuri kwani nina kampuni zangu, na sio hivyo tu, napokea wageni wengi kuja kutalii, na Machi hii ni kundi jipya toka seychelles na Korea wanakuja kutalii, haya ni matokwo ya ushawishi binafsi.
Point yangu;
Kulaumiana hakusaidii bali wewe uliyeona kuna umuhimu wa kila mmoja kuitangaza nchi..tudilaumiane bali tuelezane umuhimu, tushawishiane na kuelimishana faida ya kufanya hivyo na mwisho wa siku wote tutakuwa na spirit ya uzalendo.
Rafik yangu hunijui vizuri. Mm ni mtanzania, nalipa kodi zaid ya million mbili kila mwezi. Na hiyo ni minimum. Ukienda exact kuna kipindi nalipa mpaka million 20. Nasafiri nje karibu kila miezi mitatu na nguo zote ninazovaa ni zile za kitanzania zenye picha za wanyama, mlima kilimo, mazao, mbuga na tamaduni mbali mbali za kiafrica. Nimeshawahi mpaka Ku connect makampuni kibao na watalii na wengine ni investors mpaka Leo wana makampuni huko Arusha. Kama ninachofanya mm kwenye shughuli zangu ambazo hata situmii gharama yoyote kingefanywa na watanzania million mbili tu, tungeisaidia sana hii nchi. Tungekuwa mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama serikali inatumia mamilioni kujitangaza kupitia kampuni za kimataifa kwanini isifanye uzalendo kwa kuilipa kampuni ya wasafi itangaze utalii wetu.

Mpaka WCB kufikia hapo wametumia mamilioni kwa mamilioni kujitangaza, Serikali ikiona kuna umuhimu iwalipe wafanye biashara ya kutangaza utalii wetu a ndani kama inavyofanya kwa makumpuni mengine ya nje na ndani.


Kitendo cha Dimond na wenzake kutokea Tz kuimeshaitangaza nchi wakitaka matangazo watoe hela maana hata wao WCB wanatumia hela nyingi kufikisha muziki wao hapa hakuna cha bure vinginevyo WCB waendelee kuimba "ai Mama nakufa au konki konki " kama tunavyopenda sie mashabiki wao .



Sent using Jamii Forums mobile app
Basi bodi ya utalii kupitia 'Safari channel' iliyoanzishwa waangalie uwezekano wa kuandaa nyimbo moja tamu ya utalii na WCB ili iwe inapigwa kwenye hiyo channel, itasaidia.
 
Back
Top Bottom