Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Anzisha uzi wa Nikkl!!!Acha uongo
mbona nikki wa 2 ameenda wasafi fm mara kwa mara na bado tunamuona anasikika clouds
Mwanza - Fid Q, Young Killer, Baraka princeNdio maana nikawaambia nyie ndo wabaguzi maana Harmonizer kwa vile kwao Mtwara basi kila mwanamtwara basi ni msanii wao hamuwaambii chochote. Kilimanjaro hatuna msanii wa kwetu njoo ukiza msanii gani wa nyumbani wanaompenda utawakosa ila nenda Mtwara-harmonizer
Mwanza-best naso
Mbeya-mr. Xmass
Morogoro-belle 9
Kilimanjaro- hamna hata mmoja
Wasanii International Tanzania wako wawili tu, na wote hawatokei Kaskazini. Unaweza kubisha, lakini mtu kama Nikki wa Pili mbali na jina lake kuwa kwenye Roster ya utumishi wa ummah, hawezi kumkuta kwenye Music Catalogue yoyote kubwa.Ila Kilimanjaro na Arusha tuna wasanii wengi sana tena international kwelikweli kweli
Vanesaa Mdee
Maua Sama
Navy Kenzo
Whozu
Bilnass
Malkia Karen
Shaa
Nikki wa pili
Nako2Nako
Chin bee
Etc etc etc
Nyinyi kisa daimond kwao Kigoma mkaja na Kigoma all [emoji93], Ukienda mwanza msanii wao Best Nasso, mbeya msanii wao ni mr. Xmass etc etc. Nyinyi mkijikusanya wala sio ukabila lakini sisi tukimind our own business inakuwa ukabila, kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.
Yeye daimond nyimbo zake sizisikii kwenye ITV, EATV etc sasa kwa nini na za Clous nazo zisikike huko kwa Daimond.
Achana na huyu boya. Huyu ni moja ya wapumbavu wavhache waliobaki na TzHapo kwenye ukabila umezingua sana
Nini maana ya ukabila? Hivi siku hizi tz tunaulizana ukabila kila tukikutana? Sijajua nini maana ya ukabila?
Sasa unataka asikilizwe nani kama nyie mafala wengine akili zenunzimejaa wivu na ukabilaHv unajua kwa nin Aslay alipokea support, hao hao akina Bdozen na Mchomvu ndo walihusika kucreate fanbase ya fasta fasta hapo chuga ili kumnyanyua Aslay apate shangwe la nguvu, lengo lao kufight popularity na Mond,
Watu wa Arusha humsikiliza Sana muarusha mwenzao, yaan hata ukiwaambia kinyesi ni chakula watakuelewa cha msingi utokee pande hzo...
Hamna wasanii wote washamba wako local sanaIla Kilimanjaro na Arusha tuna wasanii wengi sana tena international kwelikweli kweli
Vanesaa Mdee
Maua Sama
Navy Kenzo
Whozu
Bilnass
Malkia Karen
Shaa
Nikki wa pili
Nako2Nako
Chin bee
Etc etc etc
Nyinyi kisa daimond kwao Kigoma mkaja na Kigoma all [emoji93], Ukienda mwanza msanii wao Best Nasso, mbeya msanii wao ni mr. Xmass etc etc. Nyinyi mkijikusanya wala sio ukabila lakini sisi tukimind our own business inakuwa ukabila, kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.
Yeye daimond nyimbo zake sizisikii kwenye ITV, EATV etc sasa kwa nini na za Clous nazo zisikike huko kwa Daimond.
PIla Kilimanjaro na Arusha tuna wasanii wengi sana tena international kwelikweli kweli
Vanesaa Mdee
Maua Sama
Navy Kenzo
Whozu
Bilnass
Malkia Karen
Shaa
Nikki wa pili
Nako2Nako
Chin bee
Etc etc etc
Nyinyi kisa daimond kwao Kigoma mkaja na Kigoma all [emoji93], Ukienda mwanza msanii wao Best Nasso, mbeya msanii wao ni mr. Xmass etc etc. Nyinyi mkijikusanya wala sio ukabila lakini sisi tukimind our own business inakuwa ukabila, kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.
Yeye daimond nyimbo zake sizisikii kwenye ITV, EATV etc sasa kwa nini na za Clous nazo zisikike huko kwa Daimond.
Nyie wa Arusha mna msanii gani wa maana washamba tu wivu pale wcb ukanda wenu wote kaskazini hakuna wa kumfikia hata zuchu tulizeni vibupa hata sisi n wahuni na wale wakubwa wa media zenu sijui mapresenter tunajua wanatoa ndogo uwezo zero Wacha wapigwe pipe kulina vibaruaSasa unataka asikilizwe nani kama nyie mafala wengine akili zenunzimejaa wivu na ukabila
We ni mtanzania kweli? Upareni ni Kigoma au?Vanessa ,Mimi mars sio wa moshi ni wapare huko.
Vip kama mna maji masafi mbona Meno yenu yameungua.
Chuga hamna wasanii washamba wahaya na chuga mna nn Sasa shobo punguza na wahaya wale mapresenters wenu wanaoliwa ndogo walianza Anza ivyo kuletq Shoba na watu wa bukoba kuwa makini utaliwahuyo harmonize mfanyeni Rais wenu awapunguzie umsikini walau kidogo au hilo ni kubwa sana, basi azalishe walau wasnii wengine hata 2 tu..Chugga itabaki kuwa Chugga tu miaka 20, 40,50 ijayo itakuwa hotspot ya wasanii wakali pamoja na swag, tukiungwa mkono na Clouds ya Wahaya, ..Wachagga na Wahaya tukiungana ni nani wa kutu stop?
Hao ni wasanii wa kubebwa na media hakuna msanii wa like ukitoa lady jay dee ni ruby hao wengine media zinawabebaWe ni mtanzania kweli? Upareni ni Kigoma au?
Sijui unaelewa ulichoandikaHao ni wasanii wa kubebwa na media hakuna msanii wa like ukitoa lady jay dee ni ruby hao wengine media zinawabeba
Sijui nn umejibu vipaji hamna nyie ni connection niambie Kuna msanii wa kike kumshinda ruby katika hyo list kma sio connection za mediaSijui unaelewa ulichoandika
Punguza lomoni. Tulia uandike kitu inaelewekaNyie wa Arusha mna msanii gani wa maana washamba tu wivu pale wcb ukanda wenu wote kaskazini hakuna wa kumfikia hata zuchu tulizeni vibupa hata sisi n wahuni na wale wakubwa wa media zenu sijui mapresenter tunajua wanatoa ndogo uwezo zero Wacha wapigwe pipe kulina vibarua
Msanii wa kike anaemshinda Ruby sijaona zaidi yakoSijui nn umejibu vipaji hamna nyie ni connection niambie Kuna msanii wa kike kumshinda ruby katika hyo list kma sio connection za media
Punguzeni ukabila ndo maana hamna maendeleo ya kimuziki leo unamfananisha young killer na mshamba hajui kuimba sijui mnamuita raptcha acheni undezi tulieni angalieni uwezo wenuPunguza lomoni. Tulia uandike kitu inaeleweka
🤣🤣🤣🤣Kama sio wale wanaotoa ndogo wawe mapresenters kuwabeba nyie mmebaki na bangi na kuolewa na wazunguMsanii wa kike anaemshinda Ruby sijaona zaidi yako
KilazaSasa unataka asikilizwe nani kama nyie mafala wengine akili zenunzimejaa wivu na ukabila