Wasafi imemkosea nini Joh Makini?

Wasafi imemkosea nini Joh Makini?

Vanessa ,Mimi mars sio wa moshi ni wapare huko.


Vip kama mna maji masafi mbona Meno yenu yameungua.
Kuna kitu kinaitwa Fluorosis haya madini yamezidi kwenye maji tulishapata pesa ya kuziondoa kwenye maji ila Kikwete akala zile pesa mradi ukasimama. Isitoshe maji ya bomba huwa wanawekaga ile dawa flani compaund ya chlorine ambayo ina fluorides nyingi ndo sababu. Ila tukiweza punguza flouride basi tumeweza kupanmbana na meno ya dhahabu ila maji huku kwetu yamefika kila kijiji maji huku sio ya mgao
 
Huyo Mama hela ya chenchi ni mwizi, jambazi, fisadi na mlanguzi hela hizo hapana za wizi ilibidi azirudishe kisha tumsweke ndani

Kwani Jack ameolewa na Mengi unajua amepata nini yule alikuwa anamsogezea mzee maisha lakini hatapata keki ya IPP empire kabisa. Mali za Mengi ameshawapa watoto wake Regina na Abdieli. Jack hapati chochote zaidi ya zawadi maana sisi wachagga tunajijua aisehh

Nyumba magazi zote alizokuwa nazo mengi ni mali ya kampuni siku kampuni wakivitaka basi ujue mjane anarudi lala barabarabi.

Sisi ni akili kubwa sana tena sana maana mpaka sasa tulishakuwa tumejua nani kapata nini lakini kwa Jacky aandike maumivu makubwa hakuna share kwenye IPP labda wale mapacha wake maana Mengi alishaandika kila kitu na mwana sheria wake yule Michael Ngalu ndo anajua nani atapata nini

Usicheze kabisa na wachagga sisi ni akili nyingi na mikono yenu inafika popote achaneni na sisi sio size yenu nyie.

Anyway mimi sio mkabila na naoa yoyote ila mke lazima ajishughulishe sio kukata viuno maana hakunaga tuzo ya wakata viuno
Nakucheka bure kumbe ndo maana nshomile wengi wanawadharau.

Kwanza umemsikia Jackie akiongea Leo? Hebu mfate Millard Ayo huko.



Hakuna mwanamke wa kichaga anayeweza kufikia cheo cha huyo mama tibaijuka kuwa UN vice secretary utamwita kila jina lakini ndo ishakuwa hivyo ni mwanamke wa Kwanza duniani kuwa UN vice secretary.
Na ni tajiri pia na tena tangia hata. wew hujawepo.


Vip ally mufuruki unamfahamu?
Huyu tajiri pekee aliyebaki top 10 mweusi tena muhaya!!!



Hata ukijiproud vip kaa ukijua kuna watu wanawadharau Sana na tabia na uwezo wenu WA kufikiri ulivyomdogo
 
Kuna kitu kinaitwa Fluorosis haya madini yamezidi kwenye maji tulishapata pesa ya kuziondoa kwenye maji ila Kikwete akala zile pesa mradi ukasimama. Isitoshe maji ya bomba huwa wanawekaga ile dawa flani compaund ya chlorine ambayo ina fluorides nyingi ndo sababu. Ila tukiweza punguza flouride basi tumeweza kupanmbana na meno ya dhahabu ila maji huku kwetu yamefika kila kijiji maji huku sio ya mgao
Halafu mnatabia ya kuwabambikizia watu kesi ndo maana mnachukiwa
 
Crew yote ya Arusha haipatani na wasafi huo ndo ukweli, wasanii karbia wote from kaskazin hasa Arusha au wenye asili ya huko, majamaa wana ukabila sana, na ndo mana huwez kuona Mond au wasafi wanalaunch show Arusha, labda atokee promota tokea pande hzo, na hii inachangizwa na Cloud Fm na wajinga wengine kama Efm,
Bdozen na Mchomvu wametokea chuga, ambao wana bifu kali Na Diamond, Bdozen na weusi +Joh Makini ni pete na kidole...
Mond kawakaba koo sana,
Ukiachana na ukabila huna point nyingine? Kuwa kiakili ndugu ukabila unakusaidia nn, yaani umeshindwa kutoka hata nje ya box mzee??

Kuna beef kati ya Wasafi Media na Clouds Media... Joh anapewa pande sana na clouds, Joh analinda maslai yake Clouds, akiwa karibu na Wasafi hatapewa airtime tena na Clouds na hata kwenye matamasha ya clouds Joh atatemwa nje.... So ni lazma Joh aweupande wa wenye nguvu ya industry ya music bongo....

Hayo mambo ya ukabila achana nayo ss hivi ww ni mtu mzima una ndefu hadi kiunoni
 
Ukiachana na ukabila huna point nyingine? Kuwa kiakili ndugu ukabila unakusaidia nn, yaani umeshindwa kutoka hata nje ya box mzee??

Kuna beef kati ya Wasafi Media na Clouds Media... Joh anapewa pande sana na clouds, Joh analinda maslai yake Clouds, akiwa karibu na Wasafi hatapewa airtime tena na Clouds na hata kwenye matamasha ya clouds Joh atatemwa nje.... So ni lazma Joh aweupande wa wenye nguvu ya industry ya music bongo....

Hayo mambo ya ukabila achana nayo ss hivi ww ni mtu mzima una ndefu hadi kiunoni
Embu waeleze mimi nachoka maana ukishaingia kwenye 'clash of the titan' lazima uchague upande ambao wewe unaona utashinda ni kama Brazil icheze mpira wa miguu na Korea Kaskazini alafu u side na Korea Kaskazini. If you fail to plan is you plan to fail.

Clous wameshatengeneza platform kubwa sana kuanzia wadau, maproducer, ma Dj sio ajabu ndo wamewatengeneza wao alafu aje kamtu kamvimbie.

Diamnond atambue kwamba kama anataka kufika mbali kwenye dunia ya leo lazima apate partner. Sasa analeta majidai ya kwao huko anavimba na kila mtu. Sasa wakikubania utalia maana Clous wakikunja misuli inamaana hutakuwa na fan base kwenye radio nyingine, majukwaa mfano Fiesta, Alex Msama promotion, Nyamachoma festival, Kili marathon etc. Diamond akibanwa kweli kweli nakuambia hatoboi kabisa.

Mimi nashangaa nyimbo za Diamond hit song kama Mbagala, Mawazo, Number one, etc. Number one ndo ilimletea kiburi ndo ikapeleka kama hit song Eneka, Iyena etc kuchuja haraka japo ni nyimbo nzuri

Daimond aache kiburi na ashirikiane na wengine sio maugomvi ya kijinga
 
Mbona unatoka our of point.kwanza amesomea Tu huko Hilo haliondoi kuwa ni muhaya pure.
Vip huyo Lulu bila mama yake kuwa muhaya asingekuwa vile mara watoto wa kike hurithi Sana kutoka Kwa mama zao.

Vip kanumba mama yake asingekuwa muhaya sijui umaarufu angeutoa wap

Vip angela kairuki Mme wake asingekuwa muhaya sijui uwaziri angeutoa wap.

Vip lowassa mke wake asingekuwa muhaya sijui angekuwa sasa hiv

Vip slaa mke wake asingekuwa muhaya angekuwa wap sa hiv

Vip madam Rita si muhaya Yule

Vip lameck dito mama yake muhaya



Kwani nini wanawake wa kihaya wanaolewa hiv tena watu maarufu kuna Siri ipo ndani Yao.
Tafuta muhaya mkuu hutajuta.





Bado swali naomba ulete mrembo yoyote wa moshi anayeweza mfikia huyu malaika.
Mkuu warembo wa Moshi kule miguu mironjo sana, na akicheka sasa kama kang'ata mavi, hata Millard ayo mama ake asingekuwa wa kanda ya ziwa asingefiia popote🤣🤣 wape vitu mkuu
 
Embu waeleze mimi nachoka maana ukishaingia kwenye 'clash of the titan' lazima uchague upande ambao wewe unaona utashinda ni kama Brazil icheze mpira wa miguu na Korea Kaskazini alafu u side na Korea Kaskazini. If you fail to plan is you plan to fail.

Clous wameshatengeneza platform kubwa sana kuanzia wadau, maproducer, ma Dj sio ajabu ndo wamewatengeneza wao alafu aje kamtu kamvimbie.

Diamnond atambue kwamba kama anataka kufika mbali kwenye dunia ya leo lazima apate partner. Sasa analeta majidai ya kwao huko anavimba na kila mtu. Sasa wakikubania utalia maana Clous wakikunja misuli inamaana hutakuwa na fan base kwenye radio nyingine, majukwaa mfano Fiesta, Alex Msama promotion, Nyamachoma festival, Kili marathon etc. Diamond akibanwa kweli kweli nakuambia hatoboi kabisa.

Mimi nashangaa nyimbo za Diamond hit song kama Mbagala, Mawazo, Number one, etc. Number one ndo ilimletea kiburi ndo ikapeleka kama hit song Eneka, Iyena etc kuchuja haraka japo ni nyimbo nzuri

Daimond aache kiburi na ashirikiane na wengine sio maugomvi ya kijinga
Mkuuu Diamond hana ugomvi na mtu, clouds ndo wana ugomvi nae, masuala ya kulambana miguu miyeyusho, unajua clouds walivyofight jamaa asishiriki tuzo za Afrima, huu ni mwka wa tano clouds na IPP media zinabattle na jamaa kumletdown, mambo mengine yaishie tu mioyoni, na tuendelee na mengine, endelea kushabikia wasanii wako akina dogo janja, billnas, na weusi
 
Crew yote ya Arusha haipatani na wasafi huo ndo ukweli, wasanii karbia wote from kaskazin hasa Arusha au wenye asili ya huko, majamaa wana ukabila sana, na ndo mana huwez kuona Mond au wasafi wanalaunch show Arusha, labda atokee promota tokea pande hzo, na hii inachangizwa na Cloud Fm na wajinga wengine kama Efm,

Bdozen na Mchomvu wametokea chuga, ambao wana bifu kali Na Diamond, Bdozen na weusi +Joh Makini ni pete na kidole...

Mond kawakaba koo sana,
Ila mbona Nick na Lord walienda pamoja na Gnako studio za wasafi
 
Mkuuu Diamond hana ugomvi na mtu, clouds ndo wana ugomvi nae, masuala ya kulambana miguu miyeyusho, unajua clouds walivyofight jamaa asishiriki tuzo za Afrima, huu ni mwka wa tano clouds na IPP media zinabattle na jamaa kumletdown, mambo mengine yaishie tu mioyoni, na tuendelee na mengine, endelea kushabikia wasanii wako akina dogo janja, billnas, na weusi
Hawa sio wasanii wangu kabisa usinisingizia. Mimi ni mpenzi wa mziki mzuri
 
Hv unajua kwa nin Aslay alipokea support, hao hao akina Bdozen na Mchomvu ndo walihusika kucreate fanbase ya fasta fasta hapo chuga ili kumnyanyua Aslay apate shangwe la nguvu, lengo lao kufight popularity na Mond,
Watu wa Arusha humsikiliza Sana muarusha mwenzao, yaan hata ukiwaambia kinyesi ni chakula watakuelewa cha msingi utokee pande hzo...
Acha ushamba wee famba.
 
Kwa hiyo kwenu wasanii wanaoibeba Mwanza Fid Q, Young Killer, Kala Jermiah, etc etc

Mbona sisi Kilimanjaro hatunaga msanii wa kwetu tunayempenda maana kila nyimbo tano zitakazo pigwa redioni au kwenye tv huwezi kosa wasanii wanaotoka kanda ya kaskazini. Kanda ya kaskazini tumejaaliwa vipaji sio nyinyi na Kigoma yenu all star wakabila mpaka vinyesi vyenu
mkuu nyani aonagi kundule lake anaonaga ya wengine tu..
 
Ila Kilimanjaro na Arusha tuna wasanii wengi sana tena international kwelikweli kweli

Vanesaa Mdee
Maua Sama
Navy Kenzo
Whozu
Bilnass
Malkia Karen
Shaa
Nikki wa pili
Nako2Nako
Chin bee
Etc etc etc

Nyinyi kisa daimond kwao Kigoma mkaja na Kigoma all [emoji93], Ukienda mwanza msanii wao Best Nasso, mbeya msanii wao ni mr. Xmass etc etc. Nyinyi mkijikusanya wala sio ukabila lakini sisi tukimind our own business inakuwa ukabila, kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.

Yeye daimond nyimbo zake sizisikii kwenye ITV, EATV etc sasa kwa nini na za Clous nazo zisikike huko kwa Daimond.
Zote takataka hizo mzee.
 
Crew yote ya Arusha haipatani na wasafi huo ndo ukweli, wasanii karbia wote from kaskazin hasa Arusha au wenye asili ya huko, majamaa wana ukabila sana, na ndo mana huwez kuona Mond au wasafi wanalaunch show Arusha, labda atokee promota tokea pande hzo, na hii inachangizwa na Cloud Fm na wajinga wengine kama Efm,

Bdozen na Mchomvu wametokea chuga, ambao wana bifu kali Na Diamond, Bdozen na weusi +Joh Makini ni pete na kidole...

Mond kawakaba koo sana,
Hata chadema wakipewa nchi wataendekeza ukabila naona.

Tubaki na ccm tu
 
Ukiachana na ukabila huna point nyingine? Kuwa kiakili ndugu ukabila unakusaidia nn, yaani umeshindwa kutoka hata nje ya box mzee??

Kuna beef kati ya Wasafi Media na Clouds Media... Joh anapewa pande sana na clouds, Joh analinda maslai yake Clouds, akiwa karibu na Wasafi hatapewa airtime tena na Clouds na hata kwenye matamasha ya clouds Joh atatemwa nje.... So ni lazma Joh aweupande wa wenye nguvu ya industry ya music bongo....

Hayo mambo ya ukabila achana nayo ss hivi ww ni mtu mzima una ndefu hadi kiunoni
Acha uongo
mbona nikki wa 2 ameenda wasafi fm mara kwa mara na bado tunamuona anasikika clouds
 
Back
Top Bottom