G8M8
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 432
- 391
Kweli kabisa eti wanaiweka manyara wakati haipo kwenye Kanda North eastern zone...Wachaga ni wadini na wakabilaa,tanga imebaguliwa kidini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa eti wanaiweka manyara wakati haipo kwenye Kanda North eastern zone...Wachaga ni wadini na wakabilaa,tanga imebaguliwa kidini
Best naso kwao MusomaIla Kilimanjaro na Arusha tuna wasanii wengi sana tena international kwelikweli kweli
Vanesaa Mdee
Maua Sama
Navy Kenzo
Whozu
Bilnass
Malkia Karen
Shaa
Nikki wa pili
Nako2Nako
Chin bee
Etc etc etc
Nyinyi kisa daimond kwao Kigoma mkaja na Kigoma all [emoji93], Ukienda mwanza msanii wao Best Nasso, mbeya msanii wao ni mr. Xmass etc etc. Nyinyi mkijikusanya wala sio ukabila lakini sisi tukimind our own business inakuwa ukabila, kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.
Yeye daimond nyimbo zake sizisikii kwenye ITV, EATV etc sasa kwa nini na za Clous nazo zisikike huko kwa Daimond.
Kwa hiyo hata Ali Kiba ni muarusha?Hoja dhaifu sana, uarusha ndo the main problem, acha kuzunguka mbuyu, hata huko maskul si tulikuwa tunawaona, kujitenga tenga tu na kujiona wao superior na videmu vyao vilivyoungua meno, hzo vurugu za fiesta ya clouds si zilichangizwa na wasanii wa chuga kutopewa frontline kwenye jukwaa...hata kuwekeza Arusha kwa mgeni ni ngumu utafanyiwa figisufigisu tu na fujo ili utoke kwenye reli, furaha ya watu wa Arusha ni kuona weusi, dogo janja, na type za wasanii wa kule ndo wanapiga show tofaut na hapo watakufanyia kila aina ya uhaini
WivuAnaitwa John Makini aka Mwamba Wa Kaskazini au Jay Z wa Arusha.
Huyu jamaa hataki kabisa kuwapa ushirikiano Wasafi Media. Daima anaikimbia mic ya Wasafi.
Akiitwa kwa ajili ya interview haendi.
Kufatwa hataki.
Alishakubarigi kwenda studio kwenye kipindi cha block 89 lakini dakika za mwisho akatoa udhulu.
Ni mtu anaeonekana hapendezwi na uwepo wa Wasafi.
Je ana shida gani na Wasafi?
Mfaidika hapa ni mkaskazini ipo siku muhaya atamichoka maana wasanii wote kaskazini , ebu tutajie msanii muhaya kwasasa anae nufaika na clouds ?huyo harmonize mfanyeni Rais wenu awapunguzie umsikini walau kidogo au hilo ni kubwa sana, basi azalishe walau wasnii wengine hata 2 tu..Chugga itabaki kuwa Chugga tu miaka 20, 40,50 ijayo itakuwa hotspot ya wasanii wakali pamoja na swag, tukiungwa mkono na Clouds ya Wahaya, ..Wachagga na Wahaya tukiungana ni nani wa kutu stop?
Clouds wamemtoa shimoni , lazima aonyeshe utiifuKwa hiyo hata Ali Kiba ni muarusha?
Acha Uongo Mwanza Best naso? Ungesema Musoma Hapo SawaNdio maana nikawaambia nyie ndo wabaguzi maana Harmonizer kwa vile kwao Mtwara basi kila mwanamtwara basi ni msanii wao hamuwaambii chochote. Kilimanjaro hatuna msanii wa kwetu njoo ukiza msanii gani wa nyumbani wanaompenda utawakosa ila nenda Mtwara-harmonizer
Mwanza-best naso
Mbeya-mr. Xmass
Morogoro-belle 9
Kilimanjaro- hamna hata mmoja
KamuulizeKwa nini sasa anaumia na hatua za kimaendeleo za vijana wenzake?
😂😂 DahhNi wivu tuu
wamekuwa wakizunguka tu mara ooo.. Muarusha ooo.. Ukabila diamond mwenyewe alikiri kukataliwa kollab na Joh makin alipokuwa akihojiwa kwanza TV mbona hao wengine kina Vanessa wanafanya interview wasafi!? Tutoe sababu za msingi huyo John makin anafanya kwa sabab zakeKaskazini tunapingwa kila kona. Adi kwenye music tunapingwa.
shame on you nakumbuka tigofiesta 2017 iliyozinduliwa arusha msanii aliyepokea support kubwa kuliko alikuwa in aslay go watch the video and seeHoja dhaifu sana, uarusha ndo the main problem, acha kuzunguka mbuyu, hata huko maskul si tulikuwa tunawaona, kujitenga tenga tu na kujiona wao superior na videmu vyao vilivyoungua meno, hzo vurugu za fiesta ya clouds si zilichangizwa na wasanii wa chuga kutopewa frontline kwenye jukwaa...hata kuwekeza Arusha kwa mgeni ni ngumu utafanyiwa figisufigisu tu na fujo ili utoke kwenye reli, furaha ya watu wa Arusha ni kuona weusi, dogo janja, na type za wasanii wa kule ndo wanapiga show tofaut na hapo watakufanyia kila aina ya uhaini
Yani mwaka huu wameiacha Arusha jiji na moshi kwenye wasafi festival na kwenda maeneo kama muleba km 70 kutoka Bukoba mjini .Crew yote ya Arusha haipatani na wasafi huo ndo ukweli, wasanii karbia wote from kaskazin hasa Arusha au wenye asili ya huko, majamaa wana ukabila sana, na ndo mana huwez kuona Mond au wasafi wanalaunch show Arusha, labda atokee promota tokea pande hzo, na hii inachangizwa na Cloud Fm na wajinga wengine kama Efm,
Bdozen na Mchomvu wametokea chuga, ambao wana bifu kali Na Diamond, Bdozen na weusi +Joh Makini ni pete na kidole...
Mond kawakaba koo sana,
Mwanza best naso?Ndio maana nikawaambia nyie ndo wabaguzi maana Harmonizer kwa vile kwao Mtwara basi kila mwanamtwara basi ni msanii wao hamuwaambii chochote. Kilimanjaro hatuna msanii wa kwetu njoo ukiza msanii gani wa nyumbani wanaompenda utawakosa ila nenda Mtwara-harmonizer
Mwanza-best naso
Mbeya-mr. Xmass
Morogoro-belle 9
Kilimanjaro- hamna hata mmoja
Anaitwa John Makini aka Mwamba Wa Kaskazini au Jay Z wa Arusha.
Huyu jamaa hataki kabisa kuwapa ushirikiano Wasafi Media. Daima anaikimbia mic ya Wasafi.
Akiitwa kwa ajili ya interview haendi.
Kufatwa hataki.
Alishakubarigi kwenda studio kwenye kipindi cha block 89 lakini dakika za mwisho akatoa udhulu.
Ni mtu anaeonekana hapendezwi na uwepo wa Wasafi.
Je ana shida gani na Wasafi?
Rafael saganda sio msanii?Ndio maana nikawaambia nyie ndo wabaguzi maana Harmonizer kwa vile kwao Mtwara basi kila mwanamtwara basi ni msanii wao hamuwaambii chochote. Kilimanjaro hatuna msanii wa kwetu njoo ukiza msanii gani wa nyumbani wanaompenda utawakosa ila nenda Mtwara-harmonizer
Mwanza-best naso
Mbeya-mr. Xmass
Morogoro-belle 9
Kilimanjaro- hamna hata mmoja
Kumbe maua sama ni wa moshi?Okey asante kwa kunirekebisha maana nyimbo zake zinapigwagwa Mwanza hasa has ile ya 'nirudi kijijini'
Young Killer naye alianza kumdiss Joh Makini kisa anabebwa sasa basi wangesema wasanii wa kaskazini ndo wanabebwa maana kila radio hakupigwi nyimbo mbili yatattu isitoka kaskazini
Hv unajua kwa nin Aslay alipokea support, hao hao akina Bdozen na Mchomvu ndo walihusika kucreate fanbase ya fasta fasta hapo chuga ili kumnyanyua Aslay apate shangwe la nguvu, lengo lao kufight popularity na Mond,shame on you nakumbuka tigofiesta 2017 iliyozinduliwa arusha msanii aliyepokea support kubwa kuliko alikuwa in aslay go watch the video and see
Kwa hiyo kwenu wasanii wanaoibeba Mwanza Fid Q, Young Killer, Kala Jermiah, etc etcMwanza best naso?
Hiv uko Sawa?
Sikiliza sauti sasa huko kwenu Inshomile hamna sauti, sura mbaya, rangi mbaya nyeusi tii ila hongeni kwa mashepu yenu hapo mmebarikiwa pamoja na ukabilaKumbe maua sama ni wa moshi?
Sio Kwa Sura zile