sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,171
- 4,295
Ni media changa ndio ila kwa kuwa jina la Wasafi tayari ni kubwa duniani raia wana matarajio makubwa na media zenu Tv na Radio kuliko ata hizi media mlizozikuta zenye miaka 20 na zaidi.
Mmeanza vizuri lakini bado hamjakata kiu ya washabiki wenu kwenye upande wa media. Mimi ni muangaliaji mzuri wa televisheni yenu navutiwa sana na selection ya muziki wenu lakini bado sijaridhishwa na program zenu. Nazungumzia zaidi TV sababu ndio eneo mna fursa kubwa ya kuteka soko sababu kwa sasa bongo hakuna TV yenye vipindi vya maana vya kustua.
Jipangeni tuone vipindi zaidi vya burudani.
Ningependa kuona Kubum Kubam ina content ya kuvutia na kurudisha hiphop kwenye ramani.
Ningependa kuona Queens inaenda mbali zaidi ya kupiga muziki tu.
Ningependa kuona show za sports, program za fasheni, lifestyle, trends etc etc .
Bado tunaitaji kuona zaidi na zaidi ili muweze kukata kiu zetu mashabiki wenu.
Shout out kwa Aliyah na Refresh team kwa kweli mmefikia standards za brand ya Wasafi.
Mmeanza vizuri lakini bado hamjakata kiu ya washabiki wenu kwenye upande wa media. Mimi ni muangaliaji mzuri wa televisheni yenu navutiwa sana na selection ya muziki wenu lakini bado sijaridhishwa na program zenu. Nazungumzia zaidi TV sababu ndio eneo mna fursa kubwa ya kuteka soko sababu kwa sasa bongo hakuna TV yenye vipindi vya maana vya kustua.
Jipangeni tuone vipindi zaidi vya burudani.
Ningependa kuona Kubum Kubam ina content ya kuvutia na kurudisha hiphop kwenye ramani.
Ningependa kuona Queens inaenda mbali zaidi ya kupiga muziki tu.
Ningependa kuona show za sports, program za fasheni, lifestyle, trends etc etc .
Bado tunaitaji kuona zaidi na zaidi ili muweze kukata kiu zetu mashabiki wenu.
Shout out kwa Aliyah na Refresh team kwa kweli mmefikia standards za brand ya Wasafi.