Pre GE2025 Wasafi Media ishakuwa media ya CCM, wame-brand magari yao kwa rangi za CCM, kuelekea miaka 48 ya chama hicho

Pre GE2025 Wasafi Media ishakuwa media ya CCM, wame-brand magari yao kwa rangi za CCM, kuelekea miaka 48 ya chama hicho

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Hii Wasafi Media ibadilishwe tu ijulikane ni media ya CCM

Soma: Watangazaji Crown FM wageuza kauli ya "Mitano Tena" pambio kwenye kipindi, kweli wataweza kukemea uovu hawa?

Vyombo vya habari vinapaswa kuwa huru na kuepuka kuegemea upande wa kisiasa ili kudumisha uaminifu na uwajibikaji kwa jamii. Kujihusisha na siasa kunavifanya kupoteza uadilifu na kugeuka majukwaa ya propaganda badala ya vyanzo vya taarifa sahihi.


==

Maoni ya mdau

Hakuna ubaya kuchukua upande Kama interest yao ni hela na sio uweledi wa media za habari

Ila wawe tayari kulipa gharama Kuchagua upande pia
 
Simu moja tu hawa jamaa ni wamekutoa kiuchumi au ushakufa kiuchumi,
Chagua moja sasa
 
Utakuta mtu hapa mtandaoni analalamikia ccm ni wezi, mafisadi, wauwaji n.k

Lakini wakati huo sebuleni kwake anapiga mziki mkubwa wa wasafi na youtube anaangalia nyimbo zao na kuangalia TV yao. Account zao zote za social media amezifollow.

Common sense.

In Plato's "Apology", Socrates questions a prominent Athenian regarding the nature of 'The Good'. The Athenian wheeler and dealer, explains that it is quite simple: live so as to help your friends and and hurt your enemies. Socrates asks " How does one know who is an enemy and who is a friend?

The answer.

"The enemy of my enemy is my friend. The friend of my enemy is my enemy."
 
Kumeanza kuchangamka.
Mama Samia anautafuta urais kwa kila namna kwa sababu anajua hakubaliki. Itafikia siku hata hii hewa tunayovuta watachora picha za Samia. Mwache akamie tu lakini hajui kuwa Mungu anaweza kuwa na mipango mingine kabisa. Magufuli alivuruga uchaguzi wa 2020 akidhani amekomoa wapinzani kumbe alikuwa anakaribia mwisho wa maisha yake.
 
Wakuu

Hii Wasafi Media ibadilishwe tu ijulikane ni media ya CCM

Soma: Watangazaji Crown FM wageuza kauli ya "Mitano Tena" pambio kwenye kipindi, kweli wataweza kukemea uovu hawa?

Vyombo vya habari vinapaswa kuwa huru na kuepuka kuegemea upande wa kisiasa ili kudumisha uaminifu na uwajibikaji kwa jamii. Kujihusisha na siasa kunavifanya kupoteza uadilifu na kugeuka majukwaa ya propaganda badala ya vyanzo vya taarifa sahihi.

Usikute hizo media houses zinamilikiwa na ccm. Hao wanaokuja front ni machawa tu!
 
Utakuta mtu hapa mtandaoni analalamikia ccm ni wezi, mafisadi, wauwaji n.k

Lakini wakati huo sebuleni kwake anapiga mziki mkubwa wa wasafi na youtube anaangalia nyimbo zao na kuangalia TV yao. Account zao zote za social media amezifollow.

Common sense.

In Plato's "Apology", Socrates questions a prominent Athenian regarding the nature of 'The Good'. The Athenian wheeler and dealer, explains that it is quite simple: live so as to help your friends and and hurt your enemies. Socrates asks " How does one know who is an enemy and who is a friend?

The answer.

"The enemy of my enemy is my friend. The friend of my enemy is my enemy."
Uko sahihi mno. Hizi media zisingestawi kama hakungekuwa na wajinga wanaowasikiliza.
 
Wakuu

Hii Wasafi Media ibadilishwe tu ijulikane ni media ya CCM

Soma: Watangazaji Crown FM wageuza kauli ya "Mitano Tena" pambio kwenye kipindi, kweli wataweza kukemea uovu hawa?

Vyombo vya habari vinapaswa kuwa huru na kuepuka kuegemea upande wa kisiasa ili kudumisha uaminifu na uwajibikaji kwa jamii. Kujihusisha na siasa kunavifanya kupoteza uadilifu na kugeuka majukwaa ya propaganda badala ya vyanzo vya taarifa sahihi.

ccm ni baba la vyama vya siasi Tanzania, Africa na dunia nzima. Ni kujipanga tu ndugu zangu,

kama huna kitu huwezi kupendeka :pedroP:
 
Utakuta mtu hapa mtandaoni analalamikia ccm ni wezi, mafisadi, wauwaji n.k

Lakini wakati huo sebuleni kwake anapiga mziki mkubwa wa wasafi na youtube anaangalia nyimbo zao na kuangalia TV yao. Account zao zote za social media amezifollow.

Common sense.

In Plato's "Apology", Socrates questions a prominent Athenian regarding the nature of 'The Good'. The Athenian wheeler and dealer, explains that it is quite simple: live so as to help your friends and and hurt your enemies. Socrates asks " How does one know who is an enemy and who is a friend?

The answer.

"The enemy of my enemy is my friend. The friend of my enemy is my enemy."
Muda si mrefu wataanza kulia lia baada ya kupotea, Waulize ilikofia SUKITA
 
Wakuu

Hii Wasafi Media ibadilishwe tu ijulikane ni media ya CCM

Soma: Watangazaji Crown FM wageuza kauli ya "Mitano Tena" pambio kwenye kipindi, kweli wataweza kukemea uovu hawa?

Vyombo vya habari vinapaswa kuwa huru na kuepuka kuegemea upande wa kisiasa ili kudumisha uaminifu na uwajibikaji kwa jamii. Kujihusisha na siasa kunavifanya kupoteza uadilifu na kugeuka majukwaa ya propaganda badala ya vyanzo vya taarifa sahihi.

Wameshajimaliza mazima
 
Back
Top Bottom