Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
CHADEMA ndio itapukutika kama majani makavu mtini au maua yaliyokauka.Kila kinachojiambatanisha na Shetani kitapukutika, Angalia TOT, VIJANA JAZZ na UHURU FM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA ndio itapukutika kama majani makavu mtini au maua yaliyokauka.Kila kinachojiambatanisha na Shetani kitapukutika, Angalia TOT, VIJANA JAZZ na UHURU FM
Acheni Ramli za kiganga hapa. CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuuWameshajimaliza mazima
Endelea kula makomboCHADEMA ndio itapukutika kama majani makavu mtini au maua yaliyokauka.
CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu. Hiki ni chama ambacho kuna wajumbe wa kamati kuu wapo kimwili CHADEMA lakini akili zao zote zipo CCMccm ni baba la vyama vya siasi Tanzania, Africa na dunia nzima. Ni kujipanga tu ndugu zangu,
kama huna kitu huwezi kupendeka![]()
We should boycott their products/services.Uko sahihi mno. Hizi media zisingestawi kama hakungekuwa na wajinga wanaowasikiliza.
It's impossible.We should boycott their products/services.
Mwisho wao unakaribia hawaEndelea kula makombo
Who are they?It's impossible.
Who are those people?Who are they?
Backtrack 10 years. Walikuwepo? They are nothing if 'the people' decide to ditch them.
Mambo ya ajabu sanaUtakuta mtu hapa mtandaoni analalamikia ccm ni wezi, mafisadi, wauwaji n.k
Lakini wakati huo sebuleni kwake anapiga mziki mkubwa wa wasafi na youtube anaangalia nyimbo zao na kuangalia TV yao. Account zao zote za social media amezifollow.
Common sense.
In Plato's "Apology", Socrates questions a prominent Athenian regarding the nature of 'The Good'. The Athenian wheeler and dealer, explains that it is quite simple: live so as to help your friends and and hurt your enemies. Socrates asks " How does one know who is an enemy and who is a friend?
The answer.
"The enemy of my enemy is my friend. The friend of my enemy is my enemy."
Me and you.Who are those people?
Tena Taratibu Maana Uchaguzi Utapita Na CCM Inaondoka October 2025Wameshajimaliza mazima
Umenikumbusha rafiki yangu enzi hizo D. George Kapinga, Kimara hiyoo.Muda si mrefu wataanza kulia lia baada ya kupotea, Waulize ilikofia SUKITA
Simu moja tu hawa jamaa ni wamekutoa kiuchumi au ushakufa kiuchumi,
Chagua moja sasa
Mzee mbona inaonyesha umekata sana tamaa?Mama Samia anautafuta urais kwa kila namna kwa sababu anajua hakubaliki. Itafikia siku hata hii hewa tunayovuta watachora picha za Samia. Mwache akamie tu lakini hajui kuwa Mungu anaweza kuwa na mipango mingine kabisa. Magufuli alivuruga uchaguzi wa 2020 akidhani amekomoa wapinzani kumbe alikuwa anakaribia mwisho wa maisha yake.
Unanifahamu? Unajua niko wapi na nafanya nini? Unadhani mimi nalamba vidonda kama inzi kama unavyofanya wewe?Mzee mbona inaonyesha umekata sana tamaa?