Wasafi media, kipindi cha masham sham kinafundisha nini kwenye jamii?

Wasafi media, kipindi cha masham sham kinafundisha nini kwenye jamii?

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Kwa wafuatiliaji wa Wasafi fm/ kuna kipindi kinaongozwa na Didah Shahibu/Juma Lokole na idriss... hivi serikali/mamlaka uwaga wanafuatilia hizi project za vipindi au kisa media kulipa kodi.

Moja kati ya vitu vinavyopotosha na kuaribu ni vipindi vya TV na radio tunaomba kipindi hicho kifuatiliwe maana matusi na mambo ya kijinga ndo yanayozungumziwa.
 
Ukiona kipindi kinapata matangazo meeengi ya biashara ujue kinapendwa na wasikilizaji au watazamaji wengi. Ukiona kipindi kinapendwa na wengi ujue kimegusa maisha ya wanajamii husika wengi. ukiona kipindi kimegusa maisha ya wanajamii walio wengi basi ujue kimeakisi mawazo ya wanajamii wengi na mtindo wao wa maisha.

Kama kipindi cha kipumbavu kinapendwa na wanajamii wengi basi ujue jamii husika imejaa wapumbavu wengi. Kiufupi vipindi vyoote vinavyotrend maredioni kama vile vya michezo, umbea, upuuzi upuuzi na kuhamasiha udangaji na ushoga manaake vinaakisi jamii ya watanzania walio wengi.

Asenti
 
Ukiona kipindi kinapata matangazo meeengi ya biashara ujue kinapendwa na wasikilizaji au watazamaji wengi. Ukiona kipindi kinapendwa na wengi ujue kimegusa maisha ya wanajamii husika wengi. ukiona kipindi kimegusa maisha ya wanajamii walio wengi basi ujue kimeakisi mawazo ya wanajamii wengi na mtindo wao wa maisha.

Kama kipindi cha kipumbavu kinapendwa na wanajamii wengi basi ujue jamii husika imejaa wapumbavu wengi. Kiufupi vipindi vyoote vinavyotrend maredioni kama vile vya michezo, umbea, upuuzi upuuzi na kuhamasiha udangaji na ushoga manaake vinaakisi jamii ya watanzania walio wengi.

Asenti
Duh umemaliza

Basi wajinga na wpmbv ni wengi

Ova
 
Hahahah kesho jiandae kuwekwa kwenye segment ya "kichefuchefu Cha Juma Lokole" sidhani kama watakuacha......
 
Back
Top Bottom