Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amejizawadia Range nyeusi.Mtoa ubuyu tusaidie kwa kifupi hizo kashfa alizopewa. Nini haswa kafanyiwa..
Ukiona hujaelewa jua havikuhusu, mwenzio sijaelewa najua havinihusuMAELEZO MEENGI AFU HAJAELEZA KITU KINACHOELEWEKA
CHAWA kaziniKwani Hando kaongea nini kibaya hapo? Katoa mtazamo wake ambao ni ukweli msanii akiingia kwenye ndoa anafulia na ni kweli Nandy amepotea kwani mnamsikia nyie? Kwa sasa phina anafanya vizuri zaidi ya nandy.
Kuna style fulani wasanii wakiona wanafulia basi wanatafuta huruma kuwa wanashushwa na Wasafi ili wapate backup ya haters wa wasafi...yani media zingine zikiongea habari mbaya kukuhusu ni just habari ila ikiongelewa na Wasafi basi unashushwa hahahaha style za kitoto sana hizo kwa kipi ushuswe lea mwanao ukishaamua kuwa mamana mke wa mtu basi achana na mambo yetu vijana lea mtoto na mmeo hahahaha
Bro nimeiona clip.hakuna kibaya walicho mzungumzia Nandy ulikuwa ni mdaharo tu na nandy akawa kama case studyTz ina presenters wa radio na tv wengi ambao ni mashoga... Ndio maana wana mambo ya kisenge senge... Mwanaume rijali huwez hangaika kumdiss mtoto wa kike... Wanaume karibia wote waliojazana ktk vipindi vya radio ni machoko wanashika ukuta, bad enough wamejificha kwenye kivuli cha kuwa na watoto au familia, ila ukweli wanaish mjini kwasabab ya kupumuliwa visogo...
Itakuwa Billnas kakataa kuwashikisha ukuta sasa wanamshambulia mkewe...
Wasanii wangapi mbele wameolewa na kuoa na bado wanafanya vizuri? kila mtu ana njia yake tuache kupangiana maisha,Kwani Hando kaongea nini kibaya hapo? Katoa mtazamo wake ambao ni ukweli msanii akiingia kwenye ndoa anafulia na ni kweli Nandy amepotea kwani mnamsikia nyie? Kwa sasa phina anafanya vizuri zaidi ya nandy.
Kuna style fulani wasanii wakiona wanafulia basi wanatafuta huruma kuwa wanashushwa na Wasafi ili wapate backup ya haters wa wasafi...yani media zingine zikiongea habari mbaya kukuhusu ni just habari ila ikiongelewa na Wasafi basi unashushwa hahahaha style za kitoto sana hizo kwa kipi ushuswe lea mwanao ukishaamua kuwa mamana mke wa mtu basi achana na mambo yetu vijana lea mtoto na mmeo hahahaha
Hakuna aliyeoa au kuolewa akaendelea kufanya vizuri usiwe kiande hiyo ni realityWasanii wangapi mbele wameolewa na kuoa na bado wanafanya vizuri? kila mtu ana njia yake tuache kupangiana maisha,
Yaan mtoto wa kike ashindwe kuolewa ili awe rolimodo wa Hando? Huu ni upuuzi kama upuuzi mwingine