Wasafi Media na staff wake wamepanga au wametumwa kumshusha Kimuziki Nandy?

Wasafi Media na staff wake wamepanga au wametumwa kumshusha Kimuziki Nandy?

Hakuna aliyeoa au kuolewa akaendelea kufanya vizuri usiwe kiande hiyo ni reality
Kiande ni nani? hebu jifunze kua na adabu kwa mtu usiyemfahamu,
Mfano wangu nimesema hapo wanamziki wa ulaya au hapo Congo tuu wameoa na bado wanafanya vizuri,
Koffi Olomide, Fally Ipupa kaoa, Inos B, Ferre gola wote wameoa na bado wanafanya vizuri,

Jay Z kaoa na bado anafanya vizuri
 
Mkuu umekosea kuweka post za nandy pekee ungeattach na ile clip wengi Hapa Wana comment bila kuwa na context nzima hamna wakumshusha nandy NI
 
Hando ni wa kabila la Wambulu (Wairqw) ndivyo walivyo kama Dr Slaa usipowakweza unageuka adui yao.
 
Ndoa haina uhuru sana kama watu wanavyofikiri hasa hizi za kibongobongo.

Ndoa inalazimisha watu wawili (mr&mrs) kuwa na life styles ya pamoja. Mfumo huu unawafanya wanandoa kuwa na amani ya kudumu.

Mfumo wa mwanaume ndiyo unaokuwa chaguo no.1 na ni lazima ufuatwe kimaadili na kimila za Kitanzania.

Sasa kama Nandy anatumia mfumo wa bishoo Nenga kimuziki lazima iwe down-falls🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kimahesabu huwez hit bongoflava kwa zaidi ya 10 yrs .usizan kina jdee hawana vipaji ishu ni muda huisha

Kila mtu ana wakati wake sheikh ila vipaji vinaendelea kuwapa pesa........Kuna kitu kinaitwa Peak hata Dayamondi peak yake ilishafika kwasasa kashashuka kimziki sema vitu vingine vinaendelea kumpa pesa! Sasa nandy asishuke yeye ni nani?
 
Kila mtu ana wakati wake sheikh ila vipaji vinaendelea kuwapa pesa........Kuna kitu kinaitwa Peak hata Dayamondi peak yake ilishafika kwasasa kashashuka kimziki sema vitu vingine vinaendelea kumpa pesa! Sasa nandy asishuke yeye ni nani?
Uko sahihi hata chidi benz anapata ila ndo kafika ménopause.nienda show ya dullysykes asee bado mtamu sana tatizo muda.ukikutana n'a show ya kina choki pale méridien urashangaa
 
Tz ina presenters wa radio na tv wengi ambao ni mashoga... Ndio maana wana mambo ya kisenge senge... Mwanaume rijali huwez hangaika kumdiss mtoto wa kike... Wanaume karibia wote waliojazana ktk vipindi vya radio ni machoko wanashika ukuta, bad enough wamejificha kwenye kivuli cha kuwa na watoto au familia, ila ukweli wanaish mjini kwasabab ya kupumuliwa visogo...

Itakuwa Billnas kakataa kuwashikisha ukuta sasa wanamshambulia mkewe...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa!!!
 
Nandy ye majuzi tu alisema hatoi ngoma kwa sasa anapush kazi za msanii wake yammy ambazo tayari zimesha andaliwa,,nandy ni mama na ni mke pia na ana haki ya kuwa hivo, hao akina handu sijui nani kama wanamwonea wivu waende kwa muhuni nenga akawaoe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bro nimeiona clip.hakuna kibaya walicho mzungumzia Nandy ulikuwa ni mdaharo tu na nandy akawa kama case study
Kwann Nandy awe Case study?? Hawakuona wengine? Huyo Hando ajitafakari yeye mda wote awe ktk conflicts hajistukii?? Lol
 
Kwenye game ya muziki huu wa kishetani tegemea hayo...hushangai vanessa alizimwa ili aletwe sarafina,ni kawaida tuu,apambanie ndoto zake asisumbuke nao cos wanataka kumzima ili wamlete juu yule msanii wao.
 
Kwenye game ya muziki huu wa kishetani tegemea hayo...hushangai vanessa alizimwa ili aletwe sarafina,ni kawaida tuu,apambanie ndoto zake asisumbuke nao cos wanataka kumzima ili wamlete juu yule msanii wao.
Mandy hajawahi kuwa juu.Hivi kusema ukiolewa unapunguza fans ndo kushushwa?
 
Kwenye game ya muziki huu wa kishetani tegemea hayo...hushangai vanessa alizimwa ili aletwe sarafina,ni kawaida tuu,apambanie ndoto zake asisumbuke nao cos wanataka kumzima ili wamlete juu yule msanii wao.

vanessa hakuzimwa sababu ya saraphina. Phina alipita njia yake BSS. Mpaka vanessa anaacha mziki bado alikua team clouds. Sema hivi Phina amechukua personality ya vanessa mdee kuanzia mavazi, aina ya uimbaji hadi perfomance ni v money mtupu. Ni kama Recho kizunguzungu na RAY C.
 
KWAKO NANDY,
KAMA UNATAKA KUPOTEA BASI ANZA KUSHINDANA NA FREEMASONS.
HAO HATA MAMMLAKA IKO KIMYA KWA KU-PROMOTE USHOGA & MASHOGA.
KAA KIMYA KWA FAIDA YA KAZI YAKO!!
 
KWAKO NANDY,
KAMA UNATAKA KUPOTEA BASI ANZA KUSHINDANA NA FREEMASONS.
HAO HATA MAMMLAKA IKO KIMYA KWA KU-PROMOTE USHOGA & MASHOGA.
KAA KIMYA KWA FAIDA YA KAZI YAKO!!
Huyo Nandy kutwa anaroga , inashangaza sana unapowapiga dongo Wasafi na kumuona Nandy ni Mtakatifu wakat ni Mshirikina mzur Tu Hapa mjini
 
Back
Top Bottom