Kiande ni nani? hebu jifunze kua na adabu kwa mtu usiyemfahamu,Hakuna aliyeoa au kuolewa akaendelea kufanya vizuri usiwe kiande hiyo ni reality
Kimahesabu huwez hit bongoflava kwa zaidi ya 10 yrs .usizan kina jdee hawana vipaji ishu ni muda huishaKama una kipaji iweje ufe na njaa -Prof Jay.
Hakuna mtu anayeweza kukushusha kama una kipaji....Kama Nandy ameshuka kimziki basi ni yeye mwenyewe na si dabliyusibi.
Kimahesabu huwez hit bongoflava kwa zaidi ya 10 yrs .usizan kina jdee hawana vipaji ishu ni muda huisha
Uko sahihi hata chidi benz anapata ila ndo kafika ménopause.nienda show ya dullysykes asee bado mtamu sana tatizo muda.ukikutana n'a show ya kina choki pale méridien urashangaaKila mtu ana wakati wake sheikh ila vipaji vinaendelea kuwapa pesa........Kuna kitu kinaitwa Peak hata Dayamondi peak yake ilishafika kwasasa kashashuka kimziki sema vitu vingine vinaendelea kumpa pesa! Sasa nandy asishuke yeye ni nani?
Wengi hawajui hiliKila mtu ana wakati wake sheikh ila vipaji vinaendelea kuwapa pesa........Kuna kitu kinaitwa Peak hata Dayamondi peak yake ilishafika kwasasa kashashuka kimziki sema vitu vingine vinaendelea kumpa pesa! Sasa nandy asishuke yeye ni nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa!!!Tz ina presenters wa radio na tv wengi ambao ni mashoga... Ndio maana wana mambo ya kisenge senge... Mwanaume rijali huwez hangaika kumdiss mtoto wa kike... Wanaume karibia wote waliojazana ktk vipindi vya radio ni machoko wanashika ukuta, bad enough wamejificha kwenye kivuli cha kuwa na watoto au familia, ila ukweli wanaish mjini kwasabab ya kupumuliwa visogo...
Itakuwa Billnas kakataa kuwashikisha ukuta sasa wanamshambulia mkewe...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nandy ye majuzi tu alisema hatoi ngoma kwa sasa anapush kazi za msanii wake yammy ambazo tayari zimesha andaliwa,,nandy ni mama na ni mke pia na ana haki ya kuwa hivo, hao akina handu sijui nani kama wanamwonea wivu waende kwa muhuni nenga akawaoe.
Kwann Nandy awe Case study?? Hawakuona wengine? Huyo Hando ajitafakari yeye mda wote awe ktk conflicts hajistukii?? LolBro nimeiona clip.hakuna kibaya walicho mzungumzia Nandy ulikuwa ni mdaharo tu na nandy akawa kama case study
Mandy hajawahi kuwa juu.Hivi kusema ukiolewa unapunguza fans ndo kushushwa?Kwenye game ya muziki huu wa kishetani tegemea hayo...hushangai vanessa alizimwa ili aletwe sarafina,ni kawaida tuu,apambanie ndoto zake asisumbuke nao cos wanataka kumzima ili wamlete juu yule msanii wao.
Kwenye game ya muziki huu wa kishetani tegemea hayo...hushangai vanessa alizimwa ili aletwe sarafina,ni kawaida tuu,apambanie ndoto zake asisumbuke nao cos wanataka kumzima ili wamlete juu yule msanii wao.
MAELEZO MEENGI AFU HAJAELEZA KITU KINACHOELEWEKA
Huyo Nandy kutwa anaroga , inashangaza sana unapowapiga dongo Wasafi na kumuona Nandy ni Mtakatifu wakat ni Mshirikina mzur Tu Hapa mjiniKWAKO NANDY,
KAMA UNATAKA KUPOTEA BASI ANZA KUSHINDANA NA FREEMASONS.
HAO HATA MAMMLAKA IKO KIMYA KWA KU-PROMOTE USHOGA & MASHOGA.
KAA KIMYA KWA FAIDA YA KAZI YAKO!!