Wasafi Media waandaa futari Bungeni

Wasafi Media waandaa futari Bungeni

WEWE MTOA MADA MWEZI UNAELEKEA KUISHA USHATOA SADAKA YOYOTE KWA JAMAA? HUO TUNAITA UNAFIKI MAANA KAFUTURISHA MBAGALA HUKUONA? PALE MABIBO HUKUONA??

HIVI CHUKI ZA KIPUUZ KAMA HIZI HADI LINI???
 
Ni Afrika tuu, mtu anaweza kumuua mwenzake kisa chakula.
Africa tuu!

Hivi vita vinavyopiganiwa Ukraine vs Russia vipo Africa?

"End use" ya migogoro ama dhulma yoyote haujui kwamba inaishia kwenye chakula ama kwa kiswahili cha kisasa wanaita "matumbo"?
 
Africa tuu!

Hivi vita vinavyopiganiwa Ukraine vs Russia vipo Africa?

"End use" ya migogoro ama dhulma yoyote haujui kwamba inaishia kwenye chakula ama kwa kiswahili cha kisasa wanaita "matumbo"?
Kwahy wanagombania chakula gn.?
 
Jamii yetu inapotosha maana ya kuandaa na kutoa futari ktk jamii.

Kwa kawaida futari inabidi itolewe kwa Waislam waliofunga wasiojiweza.

Leo unasikia futari inaandaliwa kwa matajiri wenye uwezo huku
wakiachwa masikini wahitaji.

Mathalani jana Wasafi Media imefuturisha bungeni Dodoma
huu ni zaidi ya unafiki.

Wabunge hawahitaji kufuturishwa kwani wanajiweza
wanapokea posho lak 3 kila siku na mshahara milioni 12 kwa mwezi.

Ingependeza zaidi Wasafi Media wangefuturisha masikini na makundi maalumu kama yatima,walemavu na wenye ukoma.

Nakumbuka marehemu Mengi alikuwa tajiri sana lakini mara nyingi alikutana na walemavu na kula nao chakula,sijawahi kusikia Reginard Mengi ameandalia chakula wabunge.

Jamii yapaswa ibadilike, iache unafiki na kufake maisha.
Watu wanamalengo yao, ukitafakari sana utaona kuna kitu kikubwa wamekipata. Pia wamefuturisha masikini maeneo ya Mburahati. Kwa bunge wamefanikiwa kibiashara sana.
 
Kwahy wanagombania chakula gn.?
Teh teh[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]! Mkuu nimecheka wewe kutokuelewa haraka nilichokiongea!

Ipo hivii? Ukiona mtu anapambania maisha, mfano analima, anafanya biashara, anaiba, ananyang'anya, mwisho wake (end use) kabisa katika juhudi hizo huwa ni "kula" na kula linatafsirika kama ni "kutumia" yeye mwenyewe ama "wapendwa" wake.

Haujasikia hata kashifa za watumishi wa umma kuhusu matumizi mabaya ya fedha za serikali, kuwa: fulani "kala" pesa ya ofisi?

"Kula" imebeba maana zaidi ya kula kwa kutafuna na kusaga kwa meno na kusikika miyam miyam miyam yaani ku chew!
 
Teh teh[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]! Mkuu nimecheka wewe kutokuelewa haraka nilichokiongea!

Ipo hivii? Ukiona mtu anapambania maisha, mfano analima, anafanya biashara, anaiba, ananyang'anya, mwisho wake (end use) kabisa katika juhudi hizo huwa ni "kula" na kula linatafsirika kama ni "kutumia" yeye mwenyewe ama "wapendwa" wake.

Haujasikia hata kashifa za watumishi wa umma kuhusu matumizi mabaya ya fedha za serikali, kuwa: fulani "kala" pesa ya ofisi?

"Kula" imebeba maana zaidi ya kula kwa kutafuna na kusaga kwa meno na kusikika miyam miyam miyam yaani ku chew!
Nmekuelewa, ila comment yangu ya kwanza ilikuwa inazungumzia chakula halisi DIRECT kile ambacho kipo tayari kwenye sahani/sufuria
 
WEWE MTOA MADA MWEZI UNAELEKEA KUISHA USHATOA SADAKA YOYOTE KWA JAMAA? HUO TUNAITA UNAFIKI MAANA KAFUTURISHA MBAGALA HUKUONA? PALE MABIBO HUKUONA??

HIVI CHUKI ZA KIPUUZ KAMA HIZI HADI LINI???

Kwa hiyo kumbe walishafutarisha Mbagala na Mabibo lakini mtoa mada hakuona!?

Au aliona akanyamaza?
Au ana chuki binafsi na WCB?
Au ni mbumbumbu?
Au yeye ni wale wa upande wa pili?
 
Uncle Shamte ana ulimbukeni wa mapenzi


Inaonekana huwapendi Wasafi kiujumla.
Yeye na Diamond tu kumchafua. Amepatikana. Mpaka anaomba wasifu wa mtu ili ajue anaanzia wapi kumchafua. Au ndio mange kimambi huyu?
 
Wanahitaji kusaidiwa nguvu ya fikra, busara na hekima..., unaenda hio futari ina hivyo virutubisho

Kwa wanayofanya ni dhahiri ni mafukara wa fikra
 
Wiki ya kwanza ya Ramadhani Wasafi waliandaa futari huku uswahilini kwetu Mburahati,huku tulipo walala hoi bin taabani.
 
Jamii yetu inapotosha maana ya kuandaa na kutoa futari ktk jamii.

Kwa kawaida futari inabidi itolewe kwa Waislam waliofunga wasiojiweza.

Leo unasikia futari inaandaliwa kwa matajiri wenye uwezo huku
wakiachwa masikini wahitaji.

Mathalani jana Wasafi Media imefuturisha bungeni Dodoma
huu ni zaidi ya unafiki.

Wabunge hawahitaji kufuturishwa kwani wanajiweza
wanapokea posho lak 3 kila siku na mshahara milioni 12 kwa mwezi.

Ingependeza zaidi Wasafi Media wangefuturisha masikini na makundi maalumu kama yatima,walemavu na wenye ukoma.

Nakumbuka marehemu Mengi alikuwa tajiri sana lakini mara nyingi alikutana na walemavu na kula nao chakula,sijawahi kusikia Reginard Mengi ameandalia chakula wabunge.

Jamii yapaswa ibadilike, iache unafiki na kufake maisha.
indeed
 
Jamii yetu inapotosha maana ya kuandaa na kutoa futari ktk jamii.

Kwa kawaida futari inabidi itolewe kwa Waislam waliofunga wasiojiweza.

Leo unasikia futari inaandaliwa kwa matajiri wenye uwezo huku
wakiachwa masikini wahitaji.

Mathalani jana Wasafi Media imefuturisha bungeni Dodoma
huu ni zaidi ya unafiki.

Wabunge hawahitaji kufuturishwa kwani wanajiweza
wanapokea posho lak 3 kila siku na mshahara milioni 12 kwa mwezi.

Ingependeza zaidi Wasafi Media wangefuturisha masikini na makundi maalumu kama yatima,walemavu na wenye ukoma.

Nakumbuka marehemu Mengi alikuwa tajiri sana lakini mara nyingi alikutana na walemavu na kula nao chakula,sijawahi kusikia Reginard Mengi ameandalia chakula wabunge.

Jamii yapaswa ibadilike, iache unafiki na kufake maisha.
Ni tabia ya kujikomba tu kwenda kufuturisha wabunge.
 
Sidhani kama ni busara kumpangia mtu mwingine cha kufanya hasa kama anachotumia ni chake na katafuta mwenyewe na wakati huohuo ukijiuliza wewe kwa uwezo wako unewapa wangapi hata ya kununua muhogo
Km mtu anafanya kinyume na maandiko hata km ni ridhaa yake mwenyewe lazima watu wamkosoe ili ajue na asirudie kosa tena. Kumpa tajiri kitu haina thawabu km kumpa maskini.
 
KUMBUKA HILO GENGE NI LA SIRI NA WANA AGENDA YAO ILE YA SIRI SIRI
 
Jifunze kutofautisha Charity na Opportunity,, Sio kila anaetoa lengo ni kusaidia.

Kwa Wasafi hio ni kama exhibition...

Wewe endelea kuwachukia tu.
 
Jamii yetu inapotosha maana ya kuandaa na kutoa futari ktk jamii.

Kwa kawaida futari inabidi itolewe kwa Waislam waliofunga wasiojiweza.

Leo unasikia futari inaandaliwa kwa matajiri wenye uwezo huku
wakiachwa masikini wahitaji.

Mathalani jana Wasafi Media imefuturisha bungeni Dodoma
huu ni zaidi ya unafiki.

Wabunge hawahitaji kufuturishwa kwani wanajiweza
wanapokea posho lak 3 kila siku na mshahara milioni 12 kwa mwezi.

Ingependeza zaidi Wasafi Media wangefuturisha masikini na makundi maalumu kama yatima,walemavu na wenye ukoma.

Nakumbuka marehemu Mengi alikuwa tajiri sana lakini mara nyingi alikutana na walemavu na kula nao chakula,sijawahi kusikia Reginard Mengi ameandalia chakula wabunge.

Jamii yapaswa ibadilike, iache unafiki na kufake maisha.
Huyu dogo Diamond nae apate washauri wazuri, amezidi kupuyanga hovyo..
 
Back
Top Bottom