Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora muziki maana una alternative ya kuupata. Lakini sio mtu alikuwa anatoa maelezo halafu anakatishwa ghafla, kwanza inamwondoa kwenye mtiririko hata mzungumzaji.Na Efm wanavokata mziki af tangazo
Ila kuna Masoud Kipanya,Siza ,Kikeke hawa ni bora kwangu na huwa hawana mrengo wakati wa kuhoji...Nafikiri hili ni janga kwa waandishi wa sasa maybe kwenye siasa na udaku/mapenzi lkn kwamaswali ya maendeleo au yakumfanya anaeulizwa apate kufikiri zaidi ni ngumu sana hawana uwezo wa kufanya tafiti nzuri kabla ya kipindi au kuuliza maswali magumu,wapo km wanatimiza tu wajibu wakua sehemu husika
Mkuu kamai inakuja inakataaa[emoji1787][emoji1787]Aliyekuzidi , anakuchapa na ulichonacho ( akukizile akuteza eyokwete)
Teheeeeee imeisha hiyoMkuu kamai inakuja inakataaa[emoji1787][emoji1787]
HahaaasChumviiiiii.....Mwaga maji.