Wasafi TV imezipiga bao TV zote nchini, Tumewasha Tigo Tour na anguko la Tigo Fiesta

acha uongo punda wewe
 
Yaani hii ni sawa na kutoa fedha mfuko wa shati ukaweka kwenye mfuko wa suruali na ukachekelea kuwa umeongeza kipato
 
Mbona sioni maelezo yanayoonesha kuwa tigo wameacha kudhamini fiesta?
 
Ni kwa juujuu tu mkuu,kiufupi ni Kwamba utajiri alionao huyo mwanamama hautegemei kabisa uwepo wa kusaga.Kusaga kamkuta na hela zake.
Dah ina maana mzee kusaga hakuwa na mke hapo mwanzo? Kama alikuwepo umemuacha au kushatangulia mbele ya haki mkuu?
 
Kusaga alisema walidumu nae kwny uchumba for 10 yrs then ndio ndoa ikafuata,so hapo ni tangu Kusaga anapiga music kwny ma-disco mpk amefikia hapo alipo.
Duh 10 years ni uchumba wa namna gani huo? Kwa iyo tuseme ndo mkewe khalali tangu ana hustle kipind iko kweny ma disco?
 
Tupe mkuu tupe ma info...kwamba nyumba zao wanazokaa wamepanga??
 
Hata wasafi nao wanazidi kuwa wabunifu pia
Mfano walikuja na vipindi vyao kuonekana live kupitia youtube
kitu ambacho clouds hawakuwa Nacho labda liwe tukio muhimu
Kubali kataa clouds haina ubunifu tena
Nini faida ya kipindi kusikika /kuonekana live on YouTube?
 
acha kukaza fuvu bhana maana nimeshasema kuwa , WASAFIMEDIA iko top kwa kila kitu , Sasa Kama cloudstv ni kubwa kwa wasafi why tigo wamewakimbia..? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi kampuni moja haiwezi kudhamini matukio tofauti tofauti!? SportPesa aliwezaje kudhamini Yanga na Simba!? Kwani Fiesta ya Clouds imeshafanyika mwaka huu bila ya udhamini wa Tigo kiasi cha wewe kuandika kuwa wamewakimbia clouds!?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa unapataje nguvu ya kumbishia (KIGOMA INDEPENDENT) ambaye nipo WASAFI HQ[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sitaki kuamini kuwa mfagiaji wa ofisi ya WCB naye anapata nafasi ya kupekua makabrasha ya kampuni kuhusu umiliki na uendeshaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…