sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Uandishi wa kutumia x huwa siukubali sana . Huwa unashusha maana ya habari nzima.
Kwako Jesse (in kashasha's voice)amchukue mwalimu kashasha
Uhandishi ×Uhandishi wa kutumia x huwa siukubali sana . Huwa unashusha maana ya habari nzima.
Diamond yuko nyuma kama mkia..!?Yan jamaa lnatumka
kusmamia business za watu tu
Kama gasho ndo chanzo yuko
Nyuma nyuma kama mkia
Ruge endelea kuwanyooosha
Haa haa Media za tz tu ndoDiamond yuko nyuma kama mkia..!?
Seriously..!?
Ahahaaaaaaaaaaah..!
Radio ni ya Joseph Kusaga, usidandie vitu usivyovijuwa.mtambo unawashwa sio muda mrefu.tuanze kupendekeza majina ya watangazaji wa media yetu wanyonge tumsaidie president wa wcb.
mapendekezo yangu
kipindi xha muziki wa kisasa akae sky walker
mambo ya uswahilini akae mzee wa ngenga
michezo amchukue masau bwile
linex anafaa ana bonge la talent ys utangazaji
dr shika vipindi vya uchambuz wa ishu nzito
wazee ili chama ni letu tusaidiane kuibua vipaji
Ahahaaaah...Haa haa Media za tz tu ndo
Mnampa paromo aende eupo
Awike kama hapa tz
Wewe ndio unadandia vitu..!Radio ni ya Joseph Kusaga, usidandie vitu usivyovijuwa.
Kwani anashindana na nani?Ahahaaaah...
Kila mfalme ana Kingdom yake mkuu...
Hata akina Davido wakienda Europe hawawezi kuwika kama wanavyowika Afrika..!
Kwa Tanzania na Afrika Mashariki sidhani kama Diamond ana mpinzani..!
Anashindana na mimi..!Kwani anashindana na nani?