Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Mondi shule ndogo lakini akili kubwaLeo nimetune nikaiona dah hongera wasafi mediaView attachment 1242217
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mondi shule ndogo lakini akili kubwaLeo nimetune nikaiona dah hongera wasafi mediaView attachment 1242217
Ina nini hasa cha maana mbona mi naona nikiweka muda wote ni miziki tuKwasasa wasafi tv ipo rasmi DStv inapatikana katika channel number 296.kwa wale waliotaka wasafi iwepo dstv ombi lenu limefanyiwa kazi.
Hahah we umenielewa vzr mkuu.100 na 290
Cha maana ni kwamba muziki wa Tanzania utaonekana na watu wengi zaidi Africa.Ina nini hasa cha maana mbona mi naona nikiweka muda wote ni miziki tu
fatilia ratiba za vipindi siyo unakurupuka tu. wanavipind zaid ya sitaIna nini hasa cha maana mbona mi naona nikiweka muda wote ni miziki tu
We ndo unakurupuka.fatilia ratiba za vipindi siyo unakurupuka tu. wanavipind zaid ya sita
[emoji23][emoji23][emoji23] dah mkuu mm nimekalili zote hotuba za magufuli zinazooneshwa na tbcDaah my favourite channel kwny dstv ni channel no. 100.
Asante.
[emoji23][emoji23][emoji23] dah mkuu mm nimekalili zote hotuba za magufuli zinazooneshwa na tbc
Acha kua mpiga ramli bwa mdogo, access ya wasaf tv unayo ifatilie vizur utajua wananini.We ndo unakurupuka.
Mi nimeuliza kama hujui jibu kaa utulie dada yako aandae chai shemeji yako yuko njiani analeta vitafunwa
Ulijibu utumbo ndio maana nikakujibu mashudu.Acha kua mpiga ramli bwa mdogo, access ya wasaf tv unayo ifatilie vizur utajua wananini.
Last time naicheki ilikua sept 2018 kulikua na kipindi cha Refresh, Kimoja cha interview ya mastaaa.. sijui sasa hv..
Mich you dada..Oooh... naangalia hapa naona miziki tuuu
Wanavipindi japo siyo vingi sana kwakua ndiyo kwanza wanaanza.Ulijibu utumbo ndio maana nikakujibu mashudu.
In short hii channel kila nikiweka nakuta mziki tu na niliuliza kwa nia njema tu