Wasafi TV ndani ya DSTV, katika nchi zote za Afrika

Wasafi TV ndani ya DSTV, katika nchi zote za Afrika

Issue siyo channel - Issue ni ubora wa TV na vipindi, hapo ndio tofauti ilipo. Mado najiuliza Clouds + wamekosea wapi coz TV yao ni miongoni mwa TV zenye ubora mdogo kabisa katika DSTV

Clouds + ni vema wakaangalia jinsi ya kuboresha ubira wa TV yao
 
Hahah utaonyeshwa mafanikio ya awamu ya 5 mpk utakubali mziki mkuu.

Tunacheza na channel no. 291 then tunarudi kwny no.100 mpk siku inaisha hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23] dah mkuu mm nimekalili zote hotuba za magufuli zinazooneshwa na tbc
 
We ndo unakurupuka.
Mi nimeuliza kama hujui jibu kaa utulie dada yako aandae chai shemeji yako yuko njiani analeta vitafunwa
Acha kua mpiga ramli bwa mdogo, access ya wasaf tv unayo ifatilie vizur utajua wananini.
 
Masoud kipanya kabla hajarud clouds aliandika ukipeleka upuuz DStv nao DStv wataonyesha upuuz wako hiyo ilkua n baada ya clouds tv kuanza kuonyweshwa kupitia kisimbuz Cha DStv maajabu ya mcheza draft saiz yupo clouds na DStv wanaonyesha channel yenye quality mbovu kuliko zote n hyo clouds+

TvE n noma Sana quality ya picha sound vipindi wanafanya vyema hao wasaf ntawaangalia leo nione
 
Back
Top Bottom