WASAFI TV/RADIO: Kwa kila faida ya Bilioni 10, Diamond atalamba Bilioni 2

WASAFI TV/RADIO: Kwa kila faida ya Bilioni 10, Diamond atalamba Bilioni 2

Team kibamia wana mpango wa kurusha "satellite" yao kwaajili ya kampuni ya simu na tv, redio..tatizo ni mwaka 2689.
 
Kumbe biashara ya Redio na Tv inalipa hiviiii dooooooooohhhh!
 
Umetumia mbinu gani kugundua itaingiza hizo pesa wakati hata haijafunguliwa.

Toa usenge wa mange hapa.qumer kweli ww
 
Hiyo faida ya bilioni 10 kwa mwaka ni ngumu mno kwa kituo cha utangazaji Tanzania kuweza kupata.

Vv
 
matapishi ayo yarejeshe huko insta kwa chizi mwenzio .. mnajifanya mnajuwa ya wenzenu wakati ya kwenu yanawashinda..
 
Et daa mange ndo kasema

Yaan hawa wafuasi wa mange wana tabu kweli

Mange hata akisema chakula tunachokulaga tanzania huwa anaanza anakijambia kwanza yeye ndo tunakula wafuasi wake watakubali tu

hata siku akisema kesho ndo mwisho wa dunia itakubali tu
hahahaahaha afu kuna watu wanajiita wasomi wana degre na bado wana mfollow mango kimango
 
Mkuu unaijua kweli bilion kumi au unaongea tu hapa

Bas kama ndo hivyo akina diallo wangekuwa matajari wa kutupwa kama ndo kuanza tu na watu wana lamba bilion kumi bas ni noma sana
Duh
Asante sana
 
Yaani Mangi Kimambe alipiga simu kwenye hospitali aliyolazwa Wastara, India, ili kupata umbea wa kuandika Instagram. Nilivyosikia hivyo tu, Mi mwenyewe nilichoka. Kweli role model wenu kiboko
 
Yaani Mangi Kimambe alipiga simu kwenye hospitali aliyolazwa Wastara, India, ili kupata umbea wa kuandika Instagram. Nilivyosikia hivyo tu, Mi mwenyewe nilichoka. Kweli role model wenu kiboko
hana kazi kaajiliwa Insta
 
Yaani Mangi Kimambe alipiga simu kwenye hospitali aliyolazwa Wastara, India, ili kupata umbea wa kuandika Instagram. Nilivyosikia hivyo tu, Mi mwenyewe nilichoka. Kweli role model wenu kiboko
Hahaha ...Dah!
 
Taarifa za chini chini kutoka kwa mchunguzi konyo mange kimambi inasemekana Diamond platnumz anamiliki asilimia 20 ya wasafi TV na radio...Mara ya kwanza watu walivyodhani hii TV na radio inamilikiwa na Wcb tu ilikuwa ni dhahiri hiki kituo tarajiwa kisingeweza kushindana na clouds na kingekua kinapata mapato machache.....

Kitu kizuri ni kwamba hii wasafi TV na radio kuna mkono wa Joseph kusaga ambaye ataiboost kweli kweli hiki kituo na haitakua jambo la kushangaza kituo hiki kikiingiza takribani bilioni 10 baada ya makato na ushuru wa aina yoyote...hii ni kwamba kwa vile D anamiliki asilimia 20 basi bilioni mbili ni halali yake kabisa....

Huyu kijana anazidi kufanikiwa na kuwapa hamasa ya maendeleo vijana wenzake...Msanii anaweza kuwa an hit kinoma Leo lakini hakuna anaeweza Ku hit muda wake wote na inabidi kuwe na biashara Ama uwekezaji nje na muziki ili muziki ukimtupa asiwe omba omba.

BIG UP DIAMOND PLATNUMZ JAPO MIMI NI SHABIKI WA KIBA😉😉

Taarifa za chini chini kutoka kwa mchunguzi konyo mange kimambi inasemekana Diamond platnumz anamiliki asilimia 20 ya wasafi TV na radio...Mara ya kwanza watu walivyodhani hii TV na radio inamilikiwa na Wcb tu ilikuwa ni dhahiri hiki kituo tarajiwa kisingeweza kushindana na clouds na kingekua kinapata mapato machache.....

Kitu kizuri ni kwamba hii wasafi TV na radio kuna mkono wa Joseph kusaga ambaye ataiboost kweli kweli hiki kituo na haitakua jambo la kushangaza kituo hiki kikiingiza takribani bilioni 10 baada ya makato na ushuru wa aina yoyote...hii ni kwamba kwa vile D anamiliki asilimia 20 basi bilioni mbili ni halali yake kabisa....

Huyu kijana anazidi kufanikiwa na kuwapa hamasa ya maendeleo vijana wenzake...Msanii anaweza kuwa an hit kinoma Leo lakini hakuna anaeweza Ku hit muda wake wote na inabidi kuwe na biashara Ama uwekezaji nje na muziki ili muziki ukimtupa asiwe omba omba.

BIG UP DIAMOND PLATNUMZ JAPO MIMI NI SHABIKI WA KIBA😉😉
 
Back
Top Bottom