Kaambiwa na da Mange.hahaa mtoa mada kalewa huyu ..kwanza aliyemwambia hiyo wasafi TV ni yakusaga nani ??
kweli mbululaz analeta matapishi apa ..Toa hapa umbea wa mange
Utafungwa ndugu yangu, wakati unatengeneza hiyo App, uliwashirika wahusika au mahaba yako.Wakati hayo yote yakiendelea, usisahau kupakua mobile app ya Diamond vs AliKiba kupata exclusive zote zinazowahusu mahasimu hao wakubwa wa muziki nchini Tanzania. Tembelea Play store kupakua mobile app ya Diamond vs AliKiba bure kabisa. Au unaweza kubofya HAPA uweze kupata Diamond Vs AliKiba Mobile App http://bit.ly/DiamondVsAliKiba
hahahaahaha afu kuna watu wanajiita wasomi wana degre na bado wana mfollow mango kimangoEt daa mange ndo kasema
Yaan hawa wafuasi wa mange wana tabu kweli
Mange hata akisema chakula tunachokulaga tanzania huwa anaanza anakijambia kwanza yeye ndo tunakula wafuasi wake watakubali tu
hata siku akisema kesho ndo mwisho wa dunia itakubali tu
DuhMkuu unaijua kweli bilion kumi au unaongea tu hapa
Bas kama ndo hivyo akina diallo wangekuwa matajari wa kutupwa kama ndo kuanza tu na watu wana lamba bilion kumi bas ni noma sana
umeona mkuuu mihemuko sio ya inchi hiiBongo Tunaendeshwa Na Mihemuko
hana kazi kaajiliwa InstaYaani Mangi Kimambe alipiga simu kwenye hospitali aliyolazwa Wastara, India, ili kupata umbea wa kuandika Instagram. Nilivyosikia hivyo tu, Mi mwenyewe nilichoka. Kweli role model wenu kiboko
Hahaha ...Dah!Yaani Mangi Kimambe alipiga simu kwenye hospitali aliyolazwa Wastara, India, ili kupata umbea wa kuandika Instagram. Nilivyosikia hivyo tu, Mi mwenyewe nilichoka. Kweli role model wenu kiboko
Taarifa za chini chini kutoka kwa mchunguzi konyo mange kimambi inasemekana Diamond platnumz anamiliki asilimia 20 ya wasafi TV na radio...Mara ya kwanza watu walivyodhani hii TV na radio inamilikiwa na Wcb tu ilikuwa ni dhahiri hiki kituo tarajiwa kisingeweza kushindana na clouds na kingekua kinapata mapato machache.....
Kitu kizuri ni kwamba hii wasafi TV na radio kuna mkono wa Joseph kusaga ambaye ataiboost kweli kweli hiki kituo na haitakua jambo la kushangaza kituo hiki kikiingiza takribani bilioni 10 baada ya makato na ushuru wa aina yoyote...hii ni kwamba kwa vile D anamiliki asilimia 20 basi bilioni mbili ni halali yake kabisa....
Huyu kijana anazidi kufanikiwa na kuwapa hamasa ya maendeleo vijana wenzake...Msanii anaweza kuwa an hit kinoma Leo lakini hakuna anaeweza Ku hit muda wake wote na inabidi kuwe na biashara Ama uwekezaji nje na muziki ili muziki ukimtupa asiwe omba omba.
BIG UP DIAMOND PLATNUMZ JAPO MIMI NI SHABIKI WA KIBAππ
Taarifa za chini chini kutoka kwa mchunguzi konyo mange kimambi inasemekana Diamond platnumz anamiliki asilimia 20 ya wasafi TV na radio...Mara ya kwanza watu walivyodhani hii TV na radio inamilikiwa na Wcb tu ilikuwa ni dhahiri hiki kituo tarajiwa kisingeweza kushindana na clouds na kingekua kinapata mapato machache.....
Kitu kizuri ni kwamba hii wasafi TV na radio kuna mkono wa Joseph kusaga ambaye ataiboost kweli kweli hiki kituo na haitakua jambo la kushangaza kituo hiki kikiingiza takribani bilioni 10 baada ya makato na ushuru wa aina yoyote...hii ni kwamba kwa vile D anamiliki asilimia 20 basi bilioni mbili ni halali yake kabisa....
Huyu kijana anazidi kufanikiwa na kuwapa hamasa ya maendeleo vijana wenzake...Msanii anaweza kuwa an hit kinoma Leo lakini hakuna anaeweza Ku hit muda wake wote na inabidi kuwe na biashara Ama uwekezaji nje na muziki ili muziki ukimtupa asiwe omba omba.
BIG UP DIAMOND PLATNUMZ JAPO MIMI NI SHABIKI WA KIBAππ