Wasafi Tv wanachosha na Tv Yao

Wasafi Tv wanachosha na Tv Yao

Wasafi siku hizi wamebatizwa na kuitwa wazee wa kukopi na kupaste. Wao kila wakiona msanii wa nje katoa video fulani basi na wao wataiga vile vile. They are too boring.
 
Hizo ndio nyimbo zinazo tamba kwa sasa unataka wapige nyimbo gani na bado hawajaruhusiwa kufanya kitu kingine chochote zaidi ya mziki unataka nini? By the way Mtu una Instagram,una JAMII forum,una Twitter,una Facebook na Unabandle unataka TV/Radio /Gazeti vya nini
[emoji23] [emoji23] sjui wanapata wap huo mda
 
Wakuu mara kadhaa nimejaribu kuangalia hii tv na imeishia kunichosha tu..
kwani umelazimishwa?
Angalia nia ya kuanzishwa ni ku promoti kazi zao kwanza.Mbona kuna kituo hakipigi kazi zao hujafungua thread kulia lia
 
Wakuu mara kadhaa nimejaribu kuangalia hii tv na imeishia kunichosha tu...

Kwa kifupi nilitegemea itakuwa tv ambayo italeta mapinduzi katika sekta ya burudani lakini imekuwa tofauti kabisa...

Hawa jamaa muda wote wanapiga manyimbo yao, ukiwasha tu channel yao unakutana na lavalava, hujakaa kidogo mara kwangwaru, hazijapita dakika mbili Rayvan huyu hapa.. Umeenda bafuni umerudi utamkuta diamond.. Yan ni rotation hiyo kila siku na muda wote... Utakuta wimbo mmoja unapigwa hata mara 30 kwa siku...

Hawa jamaa inabidi wajirekebishe vinginevyo watakimbiwa sana na watazamaji, maana walichokuwa wanakipinga kwenye media nyingine ndicho wanachofanya wengine...
Mkuu itakua una chuki nao tu maana jamaaa wanajitahidi kubalance kwenye nyimbo mpaka za kingkiba wanapiga af jamaaa tayali washateka soko maana sahivi siwezi kununua king'amuzi afu niweke Chanel tofauti na wasafi TV
 
Back
Top Bottom