kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Wacha tuifuatilie tujue wamefanyaje!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yan tcra wanaacha wananch tunaumia na vifurushi vya kishenz vya mitandao ya cm wanaenda kufungia burdanMamlaka ya Mawasiliano Tanzania imefanya mapitio ya adhabu iliyotoa kwa Wasafi TV baada ya Wasafi kupeleka ombi la kufanya hivyo.
Baada ya mapitio TCRA imeakuja na uamuzi wa Wasafi kuendelea kutumikia adhabu hiyo mpaka tarehe 28 Februari 2020.
UAMUZI WA TCRA DHIDI YA WASAFI
1. WASAFI TV wataendelea kutumikia adhabu hiyo mpaka tarehe 28 Februari, 2021
2. WASAFI TV inaelekezwa kuzingatia masharti ya leseni ya kutoa huduma za maudhui ya kulipia kwa njia ya televisheni(Subscription content); na
3. Iwapo WASAFI TV itashindwa, itakataa au kukaidi Uamuzi huu, hatua zaidi za kisheria na kiudhibiti zitachukuliwa dhidi ya Wasafi TV
Pia, soma: RUNGU: TCRA imeitaka Wasafi TV kusitisha matangazo kwa Miezi Sita (6) kuanzia leo kwa kurusha Maudhui ya utupu
Hakuna mahali ambapo wizara ya habari imehusikaAsante, Mh Dr Bashungwa!!! Waziri mwenye dhamana yake!
Umekisoma wewe hamna shidaUlichokiandika umekisoma? Bahahahaha!
Kwani Tanzania daima,mwanahalisi,kwanza TV walikuwa hawatoi ajira na kukuza uchumi?Double standard katika nchi hutengeneza Taifa la visasi lakini pia huonyesha ni kwa kiwango gani viongozi ni incompetent!
ilikuwa YouTube Online